• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Kilimo na Ushirika

Kilimo na Umwagiliaji

Kusimamia utoaji wa huduma bora za ugani kwa wananchi, Kuhimiza wakulima kujiunga katika vikundi ili kuwa na nguvu ya pamoja, Kuhamasisha wakulima kufuata mbinu bora zinazopendekezwa kitaalamu katika shughuli za uzalishaji, Kuwafikishia wakulima teknolojia mpya baada ya kufanyiwa utafiti na kuthibitishwa, Kuwezesha wakulima kutambua fursa na vikwazo vilivyopo kwa maendeleo ili kuwapelekea teknolojia kulingana na mahitaji yao, Kupendekeza, kuandaa na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za kilimo (Agricultural By-laws) kwa kushirikiana na watendaji wengine ndani ya wilaya, Kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa huduma za ugani ndani ya wilaya, Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mahitaji ya pembejeo na zana za kilimo, upatikanaji na usambazaji wake, Kutoa taarifa ya milipuko ya magonjwa na wadudu waharibifu kwa kuwasiliana na uongozi wa wilaya, mkoa, kanda na wizara za sekta ya kilimo.

Kuwashauri wakulima namna ya kupambana na wadudu, magonjwa na magugu ya mimea mashambani mwao, Kutafuta taarifa za masoko na kuzifikisha kwa wakulima, Kuhamasisha na kuimarisha mitandao ya wakulima, Kutambua (kwa kuorodhesha) watoa huduma za ugani wa sekta binafsi, Kuandaa na kuitisha mikutano ya wadau wa sekta ya kilimo angalau mara moja kwa mwaka, Kufuatilia teknolojia za kuendeleza mazao muhimu katika wilaya hii kutoka katika vituo vya utafiti na kuwawezesha wataalamu katika wilaya kuzielewa ili zitumike kwa usahihi, Kushirikiana na watafiti katika kujaribu teknolojia mpya katika mashamba ya wakulima ndani ya wilaya

Ushirika

Kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika wa aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya jamii, Kuhimiza uimarishaji wa mitaji katika vyama vya Ushirika na kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zake za biashara kwa kujitegemea

Kutambua na kusaidia juhudi za vikundi vya wazalishaji wadogo kwa lengo la kuviwezesha kuwa vyama vya ushirika imara kiuchumi baadaye, Kuhakikisha kuwepo kwa uongozi na menejimenti yenye uwezo wa kusimamia ushirika kibiashara na ambayo inawajibika kwa wanachama, Kuelimisha jamii kuhusu ushirika  ulivyo na manufaa yake kwa wanachama kwa kutumia Sheria na Kanuni za Vyama vya Ushirika

utoa mafunzo ya uendeshaji na utawala kwa Vyama vya Ushirika, Kufanya ukaguzi wa Hesabu za Vyama vya Ushirika na kusoma taarifa kwa wanachama, Kukusanya Takwimu za Vyama vya Ushirika na kuziwasilisha Mkoani kila robo mwaka, Kusaidia kukusanya Mapato ya Halmashauri kupitia Vyama vya Ushirika, Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili September 12, 2017
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGOGO February 28, 2018
  • Tangazo la Zabuni July 02, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Itigi awataka Madiwani na Watumishi kufanya Kazi kwa ushirikiano kukidhi Mahitaji ya wananchi.

    December 16, 2020
  • TASAF KIPINDI CHA PILI AWAMU YA TATU HALMASHAURI YA ITIGI YAANZA NA UHAKIKI WA KAYA

    August 01, 2020
  • MGANGA MKUU ITIGI DR MALLANGE AENDELEZA OPERATION FUNGIA MAABARA BUBU

    February 04, 2020
  • Mganga Mkuu Itigi Dr. Mallange azifungia Maabara mbili kwa kukiuka utaratibu

    November 12, 2019
  • Tazama zote

Video

RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa