• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Historia

Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ilianzishwa tarehe 25/09/2015 kwa Tangazo la Serikali (GN.Na 433B) ya mwaka 2015,

Halmashauri hii iligawanywa kutoka Halmashauri Mama ya Manyoni.

Uamuzi wa kuanzisha Halmashauri hii ulitokana na Halmashauri ya  Wilaya ya Manyoni kuwa Kubwa sana na hivyo kuathiri utoaji wa huduma kwa wananchi na hivyo kulikuwa na umuhimu wa kuigawa ili kusogeza huduma za wananchi kwa Karibu zaidi.

Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ina Jimbo moja la Uchaguzi ambalo ni Manyoni Magharibi,Tarafa ni Moja, Kata 13, vijiji 39 na vitongoji 175.

Shughuli kuu za Kiuchumi za wananchi ni Kilimo cha mazao ya Chakula na biashara, ufugaji wa ng'ombe,mbuzi ,kondoo,Kuku, ufugaji wa nyuki, uchimbaji wa Madini ya Jasi.

Sehemu kubwa ya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi ni Hifadhi ya Wanyama ya Kizigo/Muhesi/Rungwa ambapo uwindaji wa Kitalii hufanyika.

Kwa upande wa Mipaka, kwa upande wa Mashariki inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Magharibi Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge na Uyui, Kaskazini Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi na Kusini inapakana na Chunya, Mkoa wa Mbeya.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili September 12, 2017
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGOGO February 28, 2018
  • Tangazo la Zabuni July 02, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Itigi awataka Madiwani na Watumishi kufanya Kazi kwa ushirikiano kukidhi Mahitaji ya wananchi.

    December 16, 2020
  • TASAF KIPINDI CHA PILI AWAMU YA TATU HALMASHAURI YA ITIGI YAANZA NA UHAKIKI WA KAYA

    August 01, 2020
  • MGANGA MKUU ITIGI DR MALLANGE AENDELEZA OPERATION FUNGIA MAABARA BUBU

    February 04, 2020
  • Mganga Mkuu Itigi Dr. Mallange azifungia Maabara mbili kwa kukiuka utaratibu

    November 12, 2019
  • Tazama zote

Video

RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa