• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Teknolojia, Habari na Mawasiliano

MAJUKUMU YA KITENGO CHA TEKNOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO:

(a) Majukumu

  • Kutayarisha mpango Mkakati wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano ikiwa ni pamoja na Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia, Habari na Mawasiliano.
  • Kuishauri Menejimenti ya Halmashauri ya masuala yanayohusu sera za Teknolojia, Habari na Mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya Serikali Mtandao.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia Teknolojia Habari na Mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye halmashauri.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya Teknolojia Habari na Mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kuandaa sera ya Teknolojia Habari na Mawasiliano.
  • Kusimamia Tovuti ya Halmashauri pamoja na mifumo mingine.
  • Kuweka usalama wa hifadhi data.
  • Kusimamia maboresho ya programu za kompyuta kwa wakati.
  • Kusakinisha, kusanidi na kuboresha progrmu za kuzuia virusi vya kompyuta (Install, configure and update antivirus software).
  • Kuelimisha watumiaji masuala mbalimbali yanayohusu usalama, hatari na udhaifu katika mifumo ya TEHAMA.
  • Kukagua mifumo ya TEHAMA mara kwa mara.
  • Kuweka viwango vya usalama na udhibiti katika mifumo ya TEHAMA kwa watumiaji.
  • Kusanifu, kusakinisha na kusanidi miundombinu ya ndani na nje ya mtandao wa kompyuta (Desing, install and configure LAN and WAN infrastructure).
  • Kufanya majaribio ya vifaa vya mtandao wa kompyuta.
  • Kushauri kitaalam katika manunuzi ya vifaa bora na vya kudumu vinavyohusu TEHAMA.
  • Kutengeneza vifaa vyote vya TEHAMA vinapoharibika au kutofanyakazi iliyokusudiwa.

(b) Idadi ya watumishi wa Kitengo cha TEHAMA:

Kwa sasa kitengo cha TEHAMA kina watumishi wawili wanaosimamia jumla ya mifumo minane ikiwemo:

  • Mfumo wa ukusanyaji wa mapato (LGRCIS).
  • Mfumo wa kusimamia malipo ya fedha (Epicor).
  • Mfumo wa kusimamia taarifa za watumishi (HCMIS/Lawson).
  • Mfumo wa kusimamia taarifa ya vituo vya kutolea huduma za Afya (GoTHOMIS).
  • Mfumo wa kusajili wanafunzi wa elimu ya msingi (PReM).
  • Mfumo wa kusimamia takwimu za elimu Msingi na Sekondari (BEMIS).
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Itigi (GWS)
  • Barua pepe za Halmashauri ya Wilaya ya Itigi (GMS)

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili September 12, 2017
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGOGO February 28, 2018
  • Tangazo la Zabuni July 02, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Wananchi Halmashauri ya Itigi watakiwa kuacha kukata miti Hovyo

    January 23, 2021
  • Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Itigi awataka Madiwani na Watumishi kufanya Kazi kwa ushirikiano kukidhi Mahitaji ya wananchi.

    December 16, 2020
  • TASAF KIPINDI CHA PILI AWAMU YA TATU HALMASHAURI YA ITIGI YAANZA NA UHAKIKI WA KAYA

    August 01, 2020
  • MGANGA MKUU ITIGI DR MALLANGE AENDELEZA OPERATION FUNGIA MAABARA BUBU

    February 04, 2020
  • Tazama zote

Video

RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa