• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Wananchi Halmashauri ya Itigi watakiwa kuacha kukata miti Hovyo

Tarehe ya Kuwekwa: January 23rd, 2021

Na Luganuzi Muwelu.  H/W-ITIGI

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu John Makota Amewataka Wananchi kuacha kukata miti ovyo katika maeneo yao bila  Vibali husika vya Ukataji au Uvunaji wa Miti,

 Makota Amemuleza Mgeni rasmi  Hayo  katika maadhimisho ya Upandaji Miti kitaifa kuwa kumekuwepo pia na ongezeko la shughuli za kibinadamu zinazochangia  uchomaji moto ovyo, ukataji wa miti kwa ajili ya kilimo kisichokuwa endelevu, Ujenzi wa makazi, nishati kama vile mkaa kuni na mbao , ulishaji wa mifugo holela na hata ufahamu  mdogo wa uhifadhi Mazingira ambavyo vyote hivi kimsingi vinachochea uharibifu wa Mazingira.

Awali Makota ambaye Pia ni Kaimu Afisa Ardhi na Maliasili Amesema kuwa halmashauri ya Itigi katika Msimu wa Mwaka 2020/2021 imepanga kupanda jumla ya miti 500,000, Yaani miti ya Matunda , Miti ya Mbao na Miti ya Vivuli ambayo itapandwa katika taasisi za serikali hususani kwenye Ofisi za serikali, shule za Msingi na Sekondari , Taasisi za kidini na Binafsi , Maeneo ya Wazi , Kwenye mashamba na makazi ya watu. 

Aidha Makota Amesema kuwa kwa sasa jitihada kubwa zinafanyika kuhamasisha wananchi kulima Mazao ya Muda Mrefu kama Vile Korosho na Zao la parachichi na kuzitaka kila kaya katika maeneo yao kupanda miti isiyopungua 10 kwa mwaka.

Naye Akimwakilisha Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Jonathan Dulle Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Amesema kuwa ni wakati sasa umefika wa kukabiliana na changamoto zitokanazo na shughuli za binadamu zinazoathiri uoto wa asili pamoja na kuchukua hatua kwa wahusika wanaojishughulisha na shughuli za uharibifu wa Mazingira

Aidha Dulle amesema kuwa mkakati wa halmashauri wa uanzishwaji wa Bustani moja ya Miche kila kata utiliwe Mkazo ili halmashauri iweze kuwa na vitalu vyake vya miti vitakavyowezesha upatikanaji wa Miti kwa urahisi

Pia dulle kabla ya uzinduzi wa  maadhimisho  hayo amezitaka idara husika pamoja na Wakala wa Misitu kutoa Elimu kwenye Jamii umuhimu wa Uhifadhi wa Misitu.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi (Kulia) ndugu Jonathani Dulle akitoa Hotuba kwa Niaba ya Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni

Kaimu  Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya  Itigi Afisa Bwana John Makota akitoa Hotuba kwa Mgeni Rasmi

Mwenyekiti wa Kijiji cha Songambele Bwana Mlangida Akipanda Mti siku ya maadhimisho ya Upandaji Miti Kitaifa katika Halmashauri ya Itigi

Afisa Ardhi Mteule Bwana Abraham Mfwimi Akipanda Mti siku ya maadhimisho ya Upandaji Miti Kitaifa katika Halmashauri ya Itigi

Afisa Nyuki Bwana Joseph Mboya Akishiriki katika zoezi la Upandaji Miti katika Halmashauri ya Itigi

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili September 12, 2017
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGOGO February 28, 2018
  • Tangazo la Zabuni July 02, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Wananchi Halmashauri ya Itigi watakiwa kuacha kukata miti Hovyo

    January 23, 2021
  • Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Itigi awataka Madiwani na Watumishi kufanya Kazi kwa ushirikiano kukidhi Mahitaji ya wananchi.

    December 16, 2020
  • TASAF KIPINDI CHA PILI AWAMU YA TATU HALMASHAURI YA ITIGI YAANZA NA UHAKIKI WA KAYA

    August 01, 2020
  • MGANGA MKUU ITIGI DR MALLANGE AENDELEZA OPERATION FUNGIA MAABARA BUBU

    February 04, 2020
  • Tazama zote

Video

RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa