• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Elimu Msingi

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU MSINGI

Kufafanua  na  kusimamia  utekelezaji wa Sera  ya Elimu  na Mafunzo.  Sheria  na  kanuni zinazoongoza utoaji  wa  elimu  na mafunzo ya ufundi.

Kutoa  ushauri wa kitaalamu  kuhusu   masuala  yote ya kielimu katika Halmashauri.  

Kusimamia   shughuli   za Taaluma  katika  Wilaya.  

Kusimamia na kuratibu  mitihani ya  Darasa la II, IV, VII  na  MOCK  ya  Elimu   ya Msingi.

Kusajili  wanafunzi  waliopo mfumo rasmi / nje   ya mfumo  rasmi.

Kusimamia na kuratibu  mpango wa walimu  kujiendeleza.

Kushughulikia   upanuzi  wa Elimu  katika   ngazi  ya Elimu   ya Awali na   Elimu    ya Msingi.

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji   wa mipango ya maendeleo  ya elimu  kila mwaka.

Kudhibiti   matumizi  ya fedha  za elimu kwa mujibu  ya miongozo  ya  fedha  za serikali.

Kuthibitisha  kwamba  shule zote  zinainua ubora   wa mazingira  ya kujifunzia  na  kufundishia.

Kusimamia wajibu  na haki za walimu.

Kukusanya, kuratibu na kuchambua  takwimu  za elimu  katika  Halmashauri  kwa ajili ya  mipango  ya maendeleo  katika ngazi  ya  shule,   Halmashauri , Mkoa  na  Taifa.

Kusimamia, kuratibu na kutathimini  mipango mbalimbali  ya EWW  na MEMKWA na  MUKEJA.

Kuratibu  utoaji  wa Elimu   masafa, ya  ana kwa ana,    kwa kushirikiana  na mkufunzi  wa  makazi  wa elimu   ya watu wazima   Mkoa  na Waratibu  wa vituo  katika Sekondari  na vyuo  (learning   centres).

Kusimamia   uandaaji wa  taarifa za TWM za kila robo  mwaka na uagizaji wa vifaa vya EWW.

Kufanya  makisio  ya idadi ya  mahitaji  ya walimu.

Kufuatilia huduma kwa  wanafunzi   K.M. Mahudhurio, Uhamisho  na  chakula  cha  mchana.

Kusimamia miradi ya maendeleo  hususani miundombinu shuleni.

Kufuatilia  utelekelezaji wa  taarifa za Ukaguzi   wa shule za msingi.

Kusimamia   maendeleo ya  Taaluma   na michezo (UMITASHUMTA)

Kusimamia   na kuratibu   utoaji  wa elimu  maalumu kwa wanafunzi   wenye  mahitaji maalumu.

Kubuni mbinu mbalimbali za kuinua taaluma.

Kusimamia  na kuratibu  shughuli za sayansi kimu  shuleni.  

Kufanya   ziara  za ufuatiliaji  wa Taaluma na miundombinu.

Kufanya  kazi nyingine  kama itakavyoelekezwa na Mkurugezi Mtendaji  Wilaya wa Halmashauri.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye usaili September 12, 2017
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGOGO February 28, 2018
  • Tangazo la Zabuni July 02, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Wananchi Halmashauri ya Itigi watakiwa kuacha kukata miti Hovyo

    January 23, 2021
  • Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Itigi awataka Madiwani na Watumishi kufanya Kazi kwa ushirikiano kukidhi Mahitaji ya wananchi.

    December 16, 2020
  • TASAF KIPINDI CHA PILI AWAMU YA TATU HALMASHAURI YA ITIGI YAANZA NA UHAKIKI WA KAYA

    August 01, 2020
  • MGANGA MKUU ITIGI DR MALLANGE AENDELEZA OPERATION FUNGIA MAABARA BUBU

    February 04, 2020
  • Tazama zote

Video

RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa