• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Kilimo na Ushirika

Kilimo na Umwagiliaji

Kusimamia utoaji wa huduma bora za ugani kwa wananchi, Kuhimiza wakulima kujiunga katika vikundi ili kuwa na nguvu ya pamoja, Kuhamasisha wakulima kufuata mbinu bora zinazopendekezwa kitaalamu katika shughuli za uzalishaji, Kuwafikishia wakulima teknolojia mpya baada ya kufanyiwa utafiti na kuthibitishwa, Kuwezesha wakulima kutambua fursa na vikwazo vilivyopo kwa maendeleo ili kuwapelekea teknolojia kulingana na mahitaji yao, Kupendekeza, kuandaa na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za kilimo (Agricultural By-laws) kwa kushirikiana na watendaji wengine ndani ya wilaya, Kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa huduma za ugani ndani ya wilaya, Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mahitaji ya pembejeo na zana za kilimo, upatikanaji na usambazaji wake, Kutoa taarifa ya milipuko ya magonjwa na wadudu waharibifu kwa kuwasiliana na uongozi wa wilaya, mkoa, kanda na wizara za sekta ya kilimo.

Kuwashauri wakulima namna ya kupambana na wadudu, magonjwa na magugu ya mimea mashambani mwao, Kutafuta taarifa za masoko na kuzifikisha kwa wakulima, Kuhamasisha na kuimarisha mitandao ya wakulima, Kutambua (kwa kuorodhesha) watoa huduma za ugani wa sekta binafsi, Kuandaa na kuitisha mikutano ya wadau wa sekta ya kilimo angalau mara moja kwa mwaka, Kufuatilia teknolojia za kuendeleza mazao muhimu katika wilaya hii kutoka katika vituo vya utafiti na kuwawezesha wataalamu katika wilaya kuzielewa ili zitumike kwa usahihi, Kushirikiana na watafiti katika kujaribu teknolojia mpya katika mashamba ya wakulima ndani ya wilaya

Ushirika

Kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika wa aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya jamii, Kuhimiza uimarishaji wa mitaji katika vyama vya Ushirika na kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zake za biashara kwa kujitegemea

Kutambua na kusaidia juhudi za vikundi vya wazalishaji wadogo kwa lengo la kuviwezesha kuwa vyama vya ushirika imara kiuchumi baadaye, Kuhakikisha kuwepo kwa uongozi na menejimenti yenye uwezo wa kusimamia ushirika kibiashara na ambayo inawajibika kwa wanachama, Kuelimisha jamii kuhusu ushirika  ulivyo na manufaa yake kwa wanachama kwa kutumia Sheria na Kanuni za Vyama vya Ushirika

utoa mafunzo ya uendeshaji na utawala kwa Vyama vya Ushirika, Kufanya ukaguzi wa Hesabu za Vyama vya Ushirika na kusoma taarifa kwa wanachama, Kukusanya Takwimu za Vyama vya Ushirika na kuziwasilisha Mkoani kila robo mwaka, Kusaidia kukusanya Mapato ya Halmashauri kupitia Vyama vya Ushirika, Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika.


Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa