• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Agriculture and Co-orperative

Kilimo na Umwagiliaji

Kusimamia utoaji wa huduma bora za ugani kwa wananchi, Kuhimiza wakulima kujiunga katika vikundi ili kuwa na nguvu ya pamoja, Kuhamasisha wakulima kufuata mbinu bora zinazopendekezwa kitaalamu katika shughuli za uzalishaji, Kuwafikishia wakulima teknolojia mpya baada ya kufanyiwa utafiti na kuthibitishwa, Kuwezesha wakulima kutambua fursa na vikwazo vilivyopo kwa maendeleo ili kuwapelekea teknolojia kulingana na mahitaji yao, Kupendekeza, kuandaa na kusimamia utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za kilimo (Agricultural By-laws) kwa kushirikiana na watendaji wengine ndani ya wilaya, Kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa huduma za ugani ndani ya wilaya, Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mahitaji ya pembejeo na zana za kilimo, upatikanaji na usambazaji wake, Kutoa taarifa ya milipuko ya magonjwa na wadudu waharibifu kwa kuwasiliana na uongozi wa wilaya, mkoa, kanda na wizara za sekta ya kilimo.

Kuwashauri wakulima namna ya kupambana na wadudu, magonjwa na magugu ya mimea mashambani mwao, Kutafuta taarifa za masoko na kuzifikisha kwa wakulima, Kuhamasisha na kuimarisha mitandao ya wakulima, Kutambua (kwa kuorodhesha) watoa huduma za ugani wa sekta binafsi, Kuandaa na kuitisha mikutano ya wadau wa sekta ya kilimo angalau mara moja kwa mwaka, Kufuatilia teknolojia za kuendeleza mazao muhimu katika wilaya hii kutoka katika vituo vya utafiti na kuwawezesha wataalamu katika wilaya kuzielewa ili zitumike kwa usahihi, Kushirikiana na watafiti katika kujaribu teknolojia mpya katika mashamba ya wakulima ndani ya wilaya

Ushirika

Kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa Vyama vya Ushirika wa aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya jamii, Kuhimiza uimarishaji wa mitaji katika vyama vya Ushirika na kuhakikisha vyama vinafanya shughuli zake za biashara kwa kujitegemea

Kutambua na kusaidia juhudi za vikundi vya wazalishaji wadogo kwa lengo la kuviwezesha kuwa vyama vya ushirika imara kiuchumi baadaye, Kuhakikisha kuwepo kwa uongozi na menejimenti yenye uwezo wa kusimamia ushirika kibiashara na ambayo inawajibika kwa wanachama, Kuelimisha jamii kuhusu ushirika  ulivyo na manufaa yake kwa wanachama kwa kutumia Sheria na Kanuni za Vyama vya Ushirika

utoa mafunzo ya uendeshaji na utawala kwa Vyama vya Ushirika, Kufanya ukaguzi wa Hesabu za Vyama vya Ushirika na kusoma taarifa kwa wanachama, Kukusanya Takwimu za Vyama vya Ushirika na kuziwasilisha Mkoani kila robo mwaka, Kusaidia kukusanya Mapato ya Halmashauri kupitia Vyama vya Ushirika, Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika.


Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.