• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Mifugo na Uvuvi


Kutafsiri na kusimamia sheria, kanuni, sera, miongozo na taratibu mbalimbali za sekta za mifugo na uvuvi kitaifa ili kuhakikisha uwepo wa uzalishaji endelevu wa mifugo na mazao yatokanayo na mifugo na uvuvi katika wilaya kwa madhumuni ya kufikia malengo ya uzaalishaji kitaifa; Kushirikiana na wadau/washirika wa maendeleo (kama vile Taasisi binafsi na za umma) katika kutoa huduma shirikishi za ugani, kuanzisha na kuendeleza miradi ya uendelezaji mifugo na uvuvi katika wilaya; Kushirikiana na uongozi katika ngazi mbalimbali za kitaifa, Mkoa, Halmashauri na Idara nyingine katika kutimiza majukumu ya kila siku; Kushirikiana na wadau mbalimbali kudhibiti uingiza wa mifugo kiholela na kuzuia uvuvi haramu katika wilaya, kwa kufanya doria, kutoa leseni za uvuvi na kutoa elimu juu ya matumizi bora ya zana za uvuvi.

Kushauri na kuzisimamia serikali za vijiji kutenga maeneo ya malisho ili kuzuia migogoro inayoweza kutokea baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi katika vijiji; Kuwa daraja kati ya wafugaji na watafiti wa mifugo na uvuvi, kwa kuzitambua na kuchukua changamoto za wafugaji na kuzipeleka kwa watafiti ambao watazitafutia majibu muafaka na kurudisha/ kupeleka mrejesho kwa walengwa. Pia kusambaza teknolojia sahihi za kitaalam kutoka kwa watafiti kwenda kwa wafugaji ili kuongeza tija katika uzalishaji wa mifugo, samaki na bidhaa zake; Kudhibiti magonjwa mbalimbali ya mifugo, ikiwemo yale ya mlipuko na yale yanayo waathili binadamu kutoka kwenye mifugo, kama vile Kifua Kikuu, Kimeta, Kichaa cha Mbwa n.k, kwa kutoa tiba, chanjo, ukaguzi wa nyama na kutoa vibali vya kusafirisha mifugo. Pia kutoa taarifa za magonjwa ya milipuko, kuchukua na kupeleka sampuli za wanyama katika  kituo cha uchunguzi wa mifugo Temeke Dar es salaam; Kuhakikisha wataalam wa mifugo na uvuvi wenye sifa zinazo stahili wapo wa kutosha katika ngazi zote na wanahamasa ya kufanya kazi;

Kudhibiti ubora wa bidhaa za mifugo na uvuvi, pia kuhamasisha uongezaji thamani wa mazao ya mifugo na uvuvi na kusisitiza ufugaji wa kibiashara;  Kutafsiri na kuunganisha majukumu, matakwa na malengo ya wadau watoa huduma za ugani katika sekta za mifugo na uvuvi; Kutambua aina ya wafugaji na mahitaji yao muhimu katika maeneo mbalimbali; Kuendeleza matumizi ya mbinu za asili za ufugaji; Kuendeleza na kuboresha kosaafu za mifugo ya asili kwa uhamilishaji na kutumia madume bora ili kuongeza uzalishaji wa mifugo; Kukuza na kuimarisha mitandao miongoni mwa wadau wa kutoa huma za ugani na wafugaji wenyewe; Kukuza ushiriki wa wadau binafsi wa kutoa huduma za ugani, kutunza kumbukumbu na kufuatilia shughuli zao;  Kwa kushikiana na wadau wa maendeleo Kuwezesha ujenzi wa miundombinu ya mifugo na uvuvi katika maeneo ya wafugaji; Kukusanya, kuchambua, kutunza, kuboresha na kuzitumia taarifa/takwimu za mifugo na uvuvi katika kupanga mipango ya maendeleo na bajeti ya sekta katika wilaya; Kuhusisha na kushughulikia maswala mtambuka kama vile  jinsia, mazingira na VVU/UKIMWI.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa