• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Usafi na Mazingira

MAJUKUMU YA IDARA

  • Kuandaa na kutekeleza program za kutoa elimu ya Mazingira kwa wadau mbalimbali kuhusu njia bora za kudhibiti uchafuzi wa uharibifu wa mazingira na athari zake.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria za mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kufuatilia ili kupata taarifa za mazingira kutoka katika maeneo yote ynayotakiwa kuhifadhiwa.
  • Kufuatilia na kutathimini athari za uchafuzi wa Mazingira katika makazi, viwanda, migodi, ujenzi wa kilimo na ufugaji.
  • Kuandaa miongozo ya ujenzi wa miundo mbinu yataka katika maeneo ya biashara, viwanda na shughuli nyingine za kuchumi ili kuhakikisha hali ya usafi katika maeneo hayo na kudhibiti uzagaaji wa taka.
  • Kufanya mapitio na marekebisho ya sheria ndogo za usafi na hifadhi za mazingira
  • Kufuatilia utekelezaji wa kazi za kamati za mazingira na kamati za kudumu za Halmashauri zinazoanzishwa na sherria ya usimamizi wa mazingira ngazi ya Halmashauri hadi kitongoji/ mtaa.
  • Kusimamia usafishaji na ukusanyajii wa taka ngumu kutoka kwenye majengo, maeneo ya wazi, barabara na mifereji ya kuondoa maji ya mvua pamoja na kusimamia uhifadhi wa muda, uchambuzi na usafiriashaji Taka Ngumu
  • Kusimamia uchambuaji, utupaji Taka Ngumu na uendeshaji Dampo la kisasa.
  • Kuandaa na kutekeleza miradi mbalimbali kuhusu usimamizi wa Hifadhi ya Mazingira
  • Kufanya Tafiti zenye uhusiano na masuala ya hifadhi ya Mazingira.
  • Kuweka na kusimamia miongozo ya usimamizi wa majitaka yanayomwagwa kwenye mazingira ili kulinda viwango vya mazingira.
  • Kufuatilia miradi ambayo haijafanyiwa tathimini ya athari kwa mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kuandaa taarifa ya hali ya mazingira katika maeneo ya kazi
  • Kusimamia na kutekeleza kazi nyingine zitakazoelekezwa na mamlaka za juu.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa