• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Fedha na Biashara

MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA NA BIASHARA


I) SEHEMU YA FEDHA


1. Uandishi wa hati za malipo na hati za kupokelea fedha.

2. Kuandika na kutunza regista zinazohusu shughuli za kihasibu.

3. Kufanya usuluhisho wa masurufu, karadha na amana.

4. Kutunza majalada yenye kumbukumbu za hesabu

5. Kupeleka barua/nyaraka za kihasibu baki.

6. Kusimamia, Kupokea na kutunza fedha.

7. Kutunza daftari la fedha.

8. Kufanya usuluhisho wa hesabu za kibenki.

9. Kukagua hati za malipo (pre-audit).

10. Kupitisha malipo kulingana na kanuni za fedha.

11. Kuidhinisha hati za malipo.

12. Kuandika taarifa ya mapato na matumizi ya mwezi, robo na mwaka.

13. Kuandika taarifa za maduhuli.

14. Kutayarisha hesabu za mwisho.

15. Kukagua Ankara za manunuzi ya vifaa vya Idara.

16. Kujibu hoja zitokanazo na ukaguzi.

17. Kutayarisha na kurekebisha payroll za mishahara ya watumishi.

18. Kutayarisha rasimu za hesabu za Halmashauri kwa ajili ya Kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali.

19. Kutayarisha makisio ya mapato na matumizi.

20. Kutoa elimu na ushari juu ya masuala ya fedha.


II) SEHEMU YA BIASHARA


1. Kusimamia sheria za leseni.

2. Kutoa elimu ya ujasiliama na elimu ya biashara.

3. Kufanya utafiti wa masoko na udhibiti wa bei elekezi.

4. Kuandaa na kutunza kumbukumbu za kibiashara.

5. Kuunganisha sekta binafsi na Serikali kwenye masuala ya kibiashara.

6. Kutoa leseni, kukagua na kusimamia matumizi ya leseni.

7. Kufanya tathimini ya mwenendo wa shughuli zote za biashara katika eneo la mamlaka na kuandaa bajeti husika.

8. Kutoa ushauri kwa watunga sheria ili kuendana na mazingira ya soko huria katika kulinda haki za walaji.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa