• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Ukaguzi wa Ndani

WASIFU WA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

Utangulizi 
Mkaguzi wa Ndani amepewa Mamlaka ya Kisheria ya kufanya ukaguzi kupitia kifungu Na. 45 (1) cha Sheria ya Fedha za Serikali ya Mitaa Na. 9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), Agizo Na. 14 (7) la Memoranda ya Fedha ya Serikali ya Mitaa ya mwaka 2009, Kifungu Na. 30 cha Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 pamoja na kanuni zake za mwaka 2013 na kufuata Viwango vya Kimataifa vya Ukaguzi wa Ndani (IPPF) vilivyotolewa na Shirikisho la Wakaguzi wa Ndani na Viwango vingine vinavyotumika.

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina jukumu la kutoa ushauri ili kusaidia Idara zingine ndani ya Halmashauri kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Madhumuni ya Kitengo
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kinawajibu wa kufanya ukaguzi juu ya utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri pamoja na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri na kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli unaolenga kuboresha huduma za Halmashauri ili kufikia Malengo yaliyopangwa.

Muundo wa Kitengo 
Kitengo kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani akisaidiwa na Wakaguzi wa Ndani. Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina mkaguzi mmoja kwa sasa.

Majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani.
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina wajibu wa Kufanya ukaguzi na kutoa taarifa ya kila robo mwaka.kwa Afisa Masuuli na Kamati ya Ukaguzi ya Halmashauri. Kitengo kina majukumu yafuatayo:-

  • Kupitia, kuhakiki na kuifanyia majaribio mifumo mbalimbali ya udhibiti wa ndani ya Halmashauri (“Internal Control Systems”) na kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli juu ya uboreshaji wake.
  • Kupitia, kuhakiki na kuifanyia majaribio mifumo ya kujikinga dhidi ya vihatarishi ndani ya Halmashauri (Institutional Risk Management).
  • Kupitia, kuhakiki na kutoa taarifa juu ya ukusanyaji wa maduhuli ya Halmashauri.
  • Kupitia na kutoa taarifa juu ya matumizi ya fedha za umma ndani ya Halmashauri..
  • Kupanga na kufanya ukaguzi kwa kuzingatia maeneo yenye vihatarishi vitakavyasababisha kutokufikia malengo ya Halmashauri (High Risk Areas).
  • Kusaidia Uongozi na Menejimenti ya Halmashauri kuboresha utendaji ili malengo yaweze kufikiwa kwa kutoa ushauri mbalimbali kama inavyohitajika.
  • Kupitia kanuni, sheria na taratibu mbalimbali zilizowekwa na Serikali na kutoa ushauri juu ya utekelezaji wake.
  • Kukagua na kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli juu ya matumizi, utunzaji na usimamizi wa rasilimali zote za Halmashauri.
  • Kazi nyingine zinazoelekezwa na Afisa Masuuli.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa