• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

AJENDA YA KILIMO NI KIPAUMBELE CHA MKOA WA SINGIDA-RC.SERUKAMBA

Posted on: September 8th, 2022


Wakulima wa Mkoa wa Singida wamedhamiria kuondoa changamoto ya uhaba wa mafuta ya kupikia ambapo Taifa limekuwa likilazimika kuagiza bidhaa hiyo  nje.ya nchi

Akiongea na Madiwani na wakuu wa Idara mbalimbali za ofisi ya halmashauri ya Itigi leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya hiyo,Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba amesema Serikali imeendelea kuwaunga mkono wakulima wa Mkoa huo kwa kupunguza gharama za pembejeo kutoka 140,000 kwa mfuko hadi kufikia Tsh.70,000 jambo ambalo litasaidia kuongeza uzalishaji.

Amesema Mkoa wa Singida umedhamiria kuongeza eneo la kilimo kwa kupitia wadau mbalimbali wakiwemo wakulima wadogo, wakubwa, vikundi AMCOS mbalimbali vikundi vya wakulima na kupitia mashamba ya shule.

RC Serukamba ameeleza kwamba Serikali imewekeza kwa kiasi kikubwa hasa katika bajeti ya kilimo hivyo wakulima wa Singida wataisaidia Serikali kwa kuhakikisha wanaongeza mashamba ya alizeti, mahindi, vitunguu, mbaazi mpunga na viazi.

"Katika mkakati wa alizeti wa mwaka huu Singida tumejipanga kuhakikisha mafuta yote yaliyokuwa yakiagizwa nje ya nchi yanapaitikana Mkoani hapa, muhimu ni viongozi wa vijiji Madiwani na watendaji kuhakikisha kwamba kila Halmashauri inaongeza eneo la kilimo" alisema.

Aidha amewataka wakulima kuanza maandalizi ya Kilimo na kuhakikisha mvua za kwanza zinakuwa za kupandia ili kuondoa mazoea ya kutumia mvua za katikati ambazo mara nyingi zinakuwa hazina matokeo mazuri.

Amewahakikishia wakulima Mkoani humo kuwa Serikali itaweka Mazingira wezeshi kuhakikisha mbegu bora na mbolea zinapatikana kwa bei ya chini pamoja na masoko ya bidhaa hiyo.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.