• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

ALMASI YA ITIGI NI PAMBA; MWANRI

Tarehe ya Kuwekwa: October 16th, 2022

Wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi wameshauriwa kulima zao la pamba kama miongoni mwa mazao ya biashara kwa kuwa jografia yake inaruhusu zao hilo kustawi.

Akizungumza na wanachi katika ziara maalumu katika halmashauri hiyo  iliyoanza tarehe 13-14 Oktoba 2022 ya kuhamasisha kilimo cha zao la pamba Balozi wa pamba Tanzania Ndg.Agrey Mwanri amesema  halmashauri ya Itigi ina eneo kubwa na zuri kwa ajili ya kilimo na hususani kilimo cha pamba kwa kuwa zao hilo linahitaji mvua za wastani ambazo ni asilimia hamsini(50%) ya mvua zinazonyesha  katika mikoa ya kanda ya kati.

Amesema kuwa Mkoa wa Singida umepitisha azimio kua kila mwananchi kwa kuanzia alime angalau heka moja ya zao la pamba huku akibainisha kuwa serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mh. Samia Suluhu Hassani rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshatoa mbolea za ruzuku sanjari na pembejeo nyingine kama mbegu na viuatilifu ambavyo wakulima watapatiwa kwa mkopo kupitia Bodi ya pamba (TCB).

Aidha Mwanri amesema kuwa  serikali imeandaa soko la uhakika la pamba kwa bei elekezi  ya Tsh 1600 kwa  kilo huku makampuni mengine yanayonunua pamba  ikiwemo  Bio Sustain Tanzania Limited wananunua pamba kwa ts, 2000 kwa kilo na kuwataka wananchi  wa halmashauri ya Itigi kuchangamkia fursa hiyo.

Kwa upande wake Afisa kilimo wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bw. Mkinguzi Mgalula amesema Halmashauri imejipaga kutekeleza mpango huo kwa kuwasaidia wakulima waweze kulima kilimo cha kisasa cha zao la pamba ili waweze kupata tija .

Nae Bi Maria Mtonyi mkazi wa kijiji cha Gurungu na Bw. Herman Sifuni wameshukuru serikali kwa  kwa kupatiwa semina hiyo kupitia kwa Balozi wa pamba nchini Ndg. Agrey Mwanri na kwamba imeamsha ari ya kulima zao hilo ambalo kwa kiasi kikubwa wananchi wa maeneo hayo walishakata tama kutokana na changamoto mbalimbali zilizokuwepo ikiwemo ukosefu wa soko la uhakika .

Ziara hiyo katika halmashauri ya Itigi imehusisha vijiji sita ikiwa ni pamoja na  Idodyandole,Mwamatiga,Makuga ,Doroto,Kashamawele na Gurungu.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa