• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

Tarehe ya Kuwekwa: November 1st, 2024







  • Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Dkt.Vicent Mashinji amepiga marufuku ukataji wa uoto wa asili wa vichaka vya Itigi kwa kuwa uoto huo una uwezo mkubwa wa kuondoa kaboni kwenye hewa na unaweza kutumika kama chanzo cha mapato ya halmashauri

    Hayo ameyasema katika mkutano wa baraza la Madiwani wa robo ya pili na kutoa maelekezo kuwa kila Kijiji lazima kiweke akiba ya misitu ikiwa ni pamoja na kuhifadhi vichaka vya itigi

    Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Itigi Mhe.Hussein Simba amesema kwa robo ya kwanza yam waka wa fedha 2024-2025 halmashauri imekusanya imekusanya mapato kwa asilimia hamsini huku akibainisha siri ya mafanikio hayo kuwa ni ushirikiano mzuri uliopo kati ya Wataalamu pamoja na Madiwani

    Aidha Mhe.Simba amesisitiza usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali ya halmashauri ili iweze kukamilika na kuleta tija kwa jamii

    Kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi kwa upande wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Singida Bi.Donatila Vedast ameitaka halmashauri kutenga maeneo na kuweka mazingira rafiki kwa ajili uwekezaji hasa katika eneo la kilimo ili kuharakisha maendeleo ya halmashauri

    Hata hivyo Afisa Tawala Wilaya ya Manyoni Leila Sawe amesisitiza ukamilishaji wa miradi viporo ili ianze kutumika.

    Pia Kaimu Mwenyekiuti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mhe.Jonathan Dule ameipongeza halmashauri kwa kuvunja rekodi ya ukusanayaji wa mapato kwa zaidi ya asilimia hamsini katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024-2025






Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa