• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

ELIMU KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI ITIGI MAJENGO JUU YA UMUHIMU WA MAZINGIRA

Tarehe ya Kuwekwa: May 31st, 2025

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Itigi Majengo wamepatiwa mafunzo kuhusu umuhimu wa kutunza mazingira, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika Kila tarehe 5 Juni

Mafunzo hayo yamehusisha mada mbalimbali kuhusu ulinzi wa mazingira, usafi, na madhara ya uchafuzi wa mazingira kwa afya ya binadamu.


Mafunzo hayo yametolewa na Afisa Afya Ndg @lyambogomalembo kwa kushirikiana na Maafisa Mazingira Ndg. Placidia Pancreas na Ndg Shaun Ponela , ambapo wanafunzi walielimishwa kuhusu njia bora za kuhifadhi mazingira kupitia matumizi sahihi ya taka, kupanda miti, na kuhimiza tabia ya usafi katika maeneo ya shule na jamii kwa ujumla.


Viongozi hao waliwahamasisha wanafunzi kuwa mabalozi wa mazingira katika familia na maeneo yao.

Kupitia elimu hiyo, wanafunzi wamepata uelewa mpana juu ya nafasi yao katika kulinda mazingira, huku wakiahidi kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya kimazingira katika @itigi_dc

Maadhimisho hayo yamebeba kaulimbiu ya mwaka huu: "Komesha uchafuzi wa Mazingira unaochangiwa na Taka Plastiki"

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MANYONI, DKT. VINCENT MASHINJI AONGOZA KIKAO CHA BAJETI YA MWENGE WA UHURU

    June 03, 2025
  • KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KUJADILI HOJA ZA MKAGUZI - CAG

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA UKUSANYAJI KODI ZA MAJENGO

    May 31, 2025
  • ELIMU KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI ITIGI MAJENGO JUU YA UMUHIMU WA MAZINGIRA

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa