• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

ELIMU YA HEDHI SALAMA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MITUNDU

Tarehe ya Kuwekwa: May 30th, 2025

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mitundu, Wilaya ya Itigi, jana walishiriki mafunzo juu ya hedhi salama yaliyoendeshwa na shirika la Action Against Hunger kwa kushirikiana na Shirika la SEMA. Mafunzo haya yalilenga kuwajengea uelewa wanafunzi wote – wa kiume na wa kike – kuhusu umuhimu wa kuelewa mzunguko wa hedhi, afya ya uzazi, na namna ya kuondoa unyanyapaa unaohusiana na hedhi katika jamii.


Kupitia mijadala na mawasilisho ya wazi, wanafunzi walifundishwa kuhusu mbinu salama za kujisitiri, umuhimu wa usafi wa mwili, na jinsi jamii nzima – bila kujali jinsia – inavyopaswa kushiriki katika kusaidia watoto wa kike kujiamini na kuendelea na masomo bila vikwazo. Ushirikishwaji wa wavulana katika elimu hii ni hatua muhimu katika kukuza usawa wa kijinsia na mshikamano shuleni.


Viongozi wa shule wamepongeza juhudi hizo, wakisisitiza kuwa uelewa wa pamoja kati ya wanafunzi wote ni msingi wa kuondoa mitazamo potofu na kukuza mazingira salama ya kujifunzia. Mashirika yaliyohusika yameahidi kuendelea kushirikiana na shule hiyo pamoja na nyingine ili kufanikisha mabadiliko chanya katika jamii


Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA SINGIDA YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    June 10, 2025
  • DC MANYONI, DKT. VINCENT MASHINJI AONGOZA KIKAO CHA BAJETI YA MWENGE WA UHURU

    June 03, 2025
  • KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KUJADILI HOJA ZA MKAGUZI - CAG

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA UKUSANYAJI KODI ZA MAJENGO

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa