• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

H'W ITIGI YAPONGEZWA UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: September 8th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mhesimiwa Hussein Simba  ametoa wito kwa Madiwani kushirikiana na timu ya wataalamu wa halmashauri usimamiza na utekeleza wa miradi mbalimbali katika Kata zao.

Mh.Simba  ametoa wito huo kwenye mkutanao wa baraza la madiwani kilichofanyika  septemba 8,2022 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo na kusisitiza kuwa madiwani wanawajibu wa kusimamia na kufuatilia kila hatua za utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao .

Aidha Mh. Simba ametaja baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa na halmashauri hiyo ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambapo amesema kuwa halmashauri imefanikiwa kutekeleza  ujenzi wanyumba vya  madarasa kwa shule za msingi 147 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Bil.2,vyumba vya madarasa kwa shule za sekondari 29 kwa zaidi ya Sh. Bil.8 pamoja na miradi mingine ikiwemo ya Afya ,Maji,na miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara  katika maji wa Itigi yenye urefu wa km.10 kwa kiwango cha lami unaoendelea  wenye thamani ya zaidi y ash.Bil.8.

Hata hivyo Mwenyekiti huyo amempongeza  Mkurugenzi Mtendajia wa Halmashauri pamoja na timu yak e sambamba na Madiwani kwa kushirikiana katika ukusanyaji wa mapato ambapo mpaka sasa inakadiriwa kukusanya zaidi ya bilioni 1,sawa na asilimia 81.na kufanikiwa kupata HATI SAFI.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti Simba amemtangaza Diwani wa Kata ya Mwamagembe Mh.Jonathan Dulle Hemed kuwa makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa awamu ya pili  katika uchaguzi uliofanyika siku hiyo na kuibuka na ushindi kwa kura za ndio 18.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Itigi Bw.John Mgalula amesema halmshauri yake imejipanga kutatua kero kwa wanachi ikiwemo uvamizi wa wanyama pori aina ya tembo katika mashamba yao kwa kushirikiana na Idara husika  huku akiwataka wanachi kuchukua tahadhari  dhidi ya wanyama hao.

Bwana Mgalula ameongeza  kuwa Halmashauri yake pia inaandaa utaratibu wa kutembelea  miradi mbalimbali kwa kushirikiana na Kitengo cha Teknolojia ya Habari(TEHAMA) pamoja na vyombo vingine vya habari ili kuwafikishia wananchi taarifa mbalimbali za maendeleo katika Halmashauri yao.

Mwisho

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.