• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

ITIGI DC KUPITISHA RANDAMA YA BAJETI 2023/2024

Tarehe ya Kuwekwa: February 8th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Itigi imepitia na kupitisha mpango wa bajeti ya zaidi ya bilioni ishirini na sita kwa mwaka 2023/2024 kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali za halmashauri.

Akizungumza katika kikao Kikao cha Baraza la Halmashauri cha Kujadili randama ya Bajeti ya Mwaka 2023/2024 Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Hussein Simba amesema halmashauri ya Itigi imeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato pamoja na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo .

Aidha  amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kuipatia halmashauri hiyo fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali za halmashauri huku akiwataka madiwani kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao.

Akiwasilisha taarifa ya Randama ya Mpango wa bajeti ya mwaka 2023/2024 Mkuu wa Divisheni ya Mipango Emmanuel Dyelu amesema halmashauri imeomba kuidhinishiwa takribani 8,112,907,000.00 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.

Dyelu ameainisha baadhi ya vipaumbele vya bajeti hiyo kuwa pamoja na mambo mengine halmashauri imepanga  kununua wa vishikwambi kwa ajili ya madiwani na wataalamu katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,Kutekeleza mpango wa kutenga asilimia kumi kwa ajili ya vijana,wanawake na watu wenye ulemavu,kuboresha miundombinu ya elimu na Afya pamoja na kuandaa mpango kabambe wa halmashaur(Master Plan) ili kwenda na kasi ya ukuaji wa mji.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Itigi mjini Mh. Ali Minja akichangia mjadala huo wa Bajeti ameshauri halmashauri  kutenga fedha kwa ajili ya kujenga barabara mpya katika maeneo yasiyo na miundombinu hiyo ili kuongeza thamani ya maeneo /viwanja vinavyouzwa na halmashauri pia kuzijumuisha Shule za Msingi Itigi na Mlowa katika mpango wa kuzikarabati shule kongwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa