• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

KAMATI YA LISHE YAJADILI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

Tarehe ya Kuwekwa: April 23rd, 2023

Kamati ya Lishe ya halmashauri ya Wilaya ya Itigi  imekutana  na kufanya kikao cha kisheria cha kutathmini hali ya Lishe katika halmashauri hiyo huku ajenda ya upatikanaji wa chakula  kwa wanafunzi ikichukua nafasi kubwa

Akizungumza katika ufungzi wa kikao Mwenyekiti wa Kikao hicho Suzana Mushi ambaye ni Afisa Maendelo ya Jamii (W) amesema wadau wa Lishe katika halmashauri pamoja na Idara mtambuka wanapaswa kuzingatia na kukipa kipaumbele kikao cha kamati hiyo ili kujadili namna bora ya kuisaidia jamii kuwa na afya njema  ili waweze kuwa na tija katika Taifa.

Amesema  jamii isiyo zingatia lishe nzuri haina afya njema na kupelekea kutumia muda wao mwingi  pamoja na raslimali fedha katika kuhangaikia afya zao hivyo  wadau wote wa lishe katika halmashauri wanapaswa kutambua wajibu wao katika kutoa elimu na hamasa  juu ya masuala ya chakula na lishe kwa jamii.

Nae Mganga Mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi Dkt. Emmanuel Mallange amewaomba wajumbe wa Kamati hiyo kutoa mawazo yao juu ya namna wanaweza kuboresha zoezi la utoaji wa chakula chenye lishe kwa wanafunzi pamoja na kuhamasisha upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi kwa shule ambazo bado  hazijaanza kutekeleza mpango huo.

Matangazo

  • TAARIFA YA KUBATILISHA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI LA TAREHE 17/4/2023 April 29, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 12, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTUNZA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (3) July 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • RAS MGANGA ATOA MAAGIZO

    May 12, 2023
  • SERUKAMBA KUTATUA MGOGORO ENEO LA MALISHO

    May 12, 2023
  • WAJUMBE WA MPDSR WAIBUKA NA MAAZIMIO

    May 01, 2023
  • DC.LWOTA AZINDUA MAADHIMISHO WIKI YA CHANJO ITIGI DC

    April 25, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa