• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

KAMATI YA SIASA CCM MKOA YAKAGUA MIRADI ITIGI DC

Posted on: February 17th, 2023

Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Singida Imefanya ziara ya kutembelea miradi mbalmbali ya maendeleo katika halmashauri ya Wilaya ya Itigi na kuridhishwa nakasi ya utekelezaji wake

Akizungumza baada ya kupokea taarifa za miradi hiyo ,Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa wa CCM mkoa Mh. Martha Mlata amesema amefurahishwa na kasi pamoja na ubora wa utekelezaji wa miradi katika halmashauri ya Itigi

Amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Rais Dkt Samia Suluhu Hassani imewekeza fedha nyingi ili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchi nzima ikiwemo halmashauri ya Itigi hivyo ni lazima kuwepo na usimamizi makini ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na viwango na kuleta tija kwa wananchi.

Aidha amewataka viongozi wa halmashauri kubaini changamoto zinazoweza kujitokeza na kuzitafutia majibu mapema ili kuepusha miradi kutokamilika kwa wakati

Akitolea ufafanuzi wa hoja ya Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Bwana Ismail Makanda kuwa TFS haishirikiani na taasisi nyingine katika utekelezaji wa majukumu ya serikali amesema kuwa TFS ni chombo cha serikali hivyo hakuna namna yoyote kinaweza kukwamisha utekelezaji wa miradi kwa kuzuia vifaa vya ujenzi kama milango ,madirisha huku akisisitiza kuwa halmashauri ionane na maafisa wa tfs ili kupata maelekezo na utaratibu unaofaa ili kujenga mahusiano maziri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi Ndg. John Mgalula amesema kwa upande wa Halmashauri imetenga Shilingi milioni hamsinii kwa ajili ya kukamilisha mradi wa ujenzi wa wa zahanati ya Mabondeni huku Mwenyekiti wa halmashauri Mh. Hussein Simba akiongeza kwa halmashauri imejipanga kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati kwa kuwa fedha ipo pamoja na vifaa vingine vya ujenzi.

Kamati ya Siasa ya mkoa imekagua miradi miwili katika halmashauri ya Itigi ukiwemo mradi wa maji katika kijiji cha Njirii na zahanati katika kijiji cha Mabondeni.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.