• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

KAMATI YA SIASA WILAYA YA MANYONI YAIPA KONGOLE ITIGI DC UTEKELEZAJI MIRADI

Tarehe ya Kuwekwa: August 28th, 2024

Kamati ta Siasa ya Wilaya ya Manyoni imeridhishwa na utekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Itigi

Akiongea wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi Mwenyekiti wa Kamati hiyo Ndg.Jumanne Makanda amesema miradi yote ambayo kamati imetembelea inatekelezwa kwa ubora unaolingana na thamani halisi ya fedha zilizotolewa.

Hata hivyo Makanda ametoa msisitizo kwa kamati zote zinazo simamia ujenzi wa miradi kushirikiana Pamoja ili kurahisisha utekelezaji wa miradi kwa viwango vya ubora ili kuleta tija kwa jamii

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe.Vincent Mashinji ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa kuwa na taarifa sahihi za miradi inayotekelezwa huku akisisitiza miradi kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndg. Ayoub Kambi amesema amepokea maelekezo na ushauri kutoka kwa Kamati na kuahidi kufanyia kazi ikiwa ni Pamoja na kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati na kuanza kutumika

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Manyoni imetembelea na kukagua miradi sita ikiwa ni Pamoja na Ukamilishaji wa Maabara ya biolojia na chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari ya Kamenyanga,chumba kimoja cha darasa katika shule ya msingi Gurungu,Hosteli ya wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Mlowa,madarasa mawili katika shule kongwe ya msingi Itigi Mjini Pamoja na chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari Handu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa