• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

Tarehe ya Kuwekwa: December 10th, 2024

Jamii imetakiwa kuwa mabalozi wa kupinga  vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake,Watoto na watu wenye makundi maalumu pamoja na kuepuka unyayapaa kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI.

Hayo yamesemwa na Mgeni rasmi,Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mhe.Jonathani Dulle,diwani wa Kata ya Mwamagembe katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI sambamba na maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili yaliyofanyika katika viwanja vya sendi ya zamani mjini Itigi.

Mhe.Dulle ameitaka jamii kuhakikisha inazingatia ulinzi na usalama wa wahanga wa ukatili wa kijinsia kwa kuendelea kupinga na hata kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa mamlaka za kiserikali.

Aidha ameikumbusha jamii kupima na kutambua afya zao ili waweze  kuchukua hatua stahiki sanjari na kuepuka vitendo vinavyoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Awali akisoma taarifa kwa mgeni rasmi Mratibu wa UKIMWI halmashauri ya Wilaya ya Itigi Fredi Lotti amesema halmashauri ina asilimia 3 ya watu wanaoishi na maambukizi ya UKIMWI huku idadi ya watu wanaotumia dawa za kufubaza makali ya virusi ni 3.751

Lotti amesema halmashauri imeendelea kutoa elimu kuhusu njia za kujikinga na maambukizi,ushauri nasaha,upimaji wa virus vya UKIMWI kwa hiari.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani mwaka 2024 yamebeba kaulimbiu’’ Chagua Njia sahihi tokomeza UKIMWI’’ huku kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku16 za kupinga Ukatili wa kijinsia ikiwa ni’’Chagua kutokomeza Ukatili wa Kijinsia’’

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa