• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

MAAFISA TEHAMA WA HALMASHAURI ZA MKOA WA SINGIDA WAJENGEWA UWEZO KATIKA KUSIMAMIA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA TEHAMA KATIKA HALMASHAURI ZAO

Posted on: October 3rd, 2018

Katika kuhakikisha Mifumo mbalimbali ya TEHAMA inayotumika katika Mamlaka za Serikali za Mitaa inatumika ipasavyo na kuendelea kuleta matokeo chanja na kuendelea kuboresha utoaji wa huduma mbalimbali kwa wananchi kwa kutumia TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida imeamua kufanya mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Singida katika  kusimamia Mifumo na Miundombinu ya TEHAMA katika Halmashauri zao.


Katika Mafunzo haya, Maafisa TEHAMA wa Mamlaka za Serikali za Mitaa  wanajengewa uwezo katika kusimamia mifumo yote inayotumika katika Mamlaka zao pamoja na Miundombinu ya TEHAMA.


Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika nyuso zenye furaha kwa kufurahia jambo wakati wakifuatilia  mada iliyokuwa ikitolewa na mwezeshaji ambaye ni Afisa TEHAMA - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Bw. Baraka Mhembano.


Washiriki wakifuatilia Mafunzo kwa makini.


 Mafunzo yakiendelea.


 Sehemu ya Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika nyuso zenye tabasamu kwa kufurahia jambo wakati wakifuatilia  mada.

 Mafunzo yakiendela.


 Afisa TEHAMA , Ofisi ya Mkuu wa mkoa Singida Bw. Baraka Mhembano, akiwa anawajengea uwezo washiriki katika usimamizi wa mfumo wa kielektroniki wa uendeshaji wa Hospital (GoT-HOMIS).

 Sehemu ya washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za mkoa wa Singida.


 Afisa TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Bw. Athuman Simba akizungumza wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida.


 Mmoja wa Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa halmashauri za mkoa wa Singida, Bw. Salum Omary - Afisa TEHAMA Halmashauri ya Iramba  akizungumza jambo katika Mafunzo hayo.


Mmoja wa Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida Bi. Eva Myula ambaye ni Afisa TEHAMA Halmashauri ya Ikungi akifuatilia mafunzo kwa Vitendo.


Mwezeshaji wa Mafunzo, Afisa TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida Bw. Baraka Mhembano, akitoka katika ukumbi wa mikutano yanapofanyika mafunzo.

Afisa TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Bw. Baraka Mhembano (kulia) akiwa na Afisa TEHAMA wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni Bw. Abas Said wakizungumza jambo baada ya kutoka kwenye mafunzo.


 Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika picha ya pamoja.


Aidha, Washiriki wameipongeza na kuishukuru Serikali ya Mkoa wa Singida kwa kuwezesha Mafunzo haya muhimu sana kwa Maafisa TEHAMA wa Halmashauri kwakuwa yanawawezesha kuwa na uelewa mkubwa wa Mifumo na Miundombinu ya TEHAMA na hivyo kuisimamia vyema.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.