• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Madiwani Itigi wamtaka Mganga Mkuu kuwachukulia wauguzi wazembe hatua

Posted on: April 9th, 2019

Waheshimiwa madiwani wa halmashauri wamemtaka Mganga Mkuu Dr Robert Manyerere kuwachukulia wauguzi hatua mara moja za kinidhamu.  Azimo hilo limetolewa leo kwenye Kikao cha kamati ya Elimu , Afya na Maji Baada ya Mh Diwani kata ya Ipande Hamisi Mwinje kutoa Malalamiko kwenye kikao hicho

Hamisi Mwinje alikiambia kikao kuwa Wauguzi wamekuwa hawatumii taaluma zao ipasavyo katika kutoa huduma na kupelekea  Malalamiko kwa Wananchi.  Hata hivyo Mh Mwinje aliomba kuwa badala ya kuwahamisha vituo wauguzi au watumishi ambao wanaonesha udhaifu katika utendaji wao kazi ni vema wakaadhibiwa katika maeneo yao kwanza badala ya kuwahamisha vituo ambapo unakuwa hutibu tatizo

Mganga Mkuu Akijibu Hoja hizo amesema kuwa tayari ofisi yake imeshaanza kuchukua Hatua mbalimbali, kwa watumishi ambao wanalalamikiwa na Wananchi pamoja na Vikao mbalimbali  vinaendelea kuwajadili watumishi wa Idara ya Afya Wanaofanya kazi chini ya kiwango

Nae Kaimu Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Itigi Bi Doreen  Lutahanamilwa alisema kuwa Halmashauri itaendelea na utaratibu wake wa kuendelea kuchukua hatua kwa watumishi wote ambao wanafanya kazi kwa mazoea na kupelekea Malalamiko kwa Wananchi

Aidha Lutahanamilwa alimtaka Mganga Mkuu kuhakikisha Huduma za afya zinatolewa ipasavyo katika vituo vya afya na zahanati zote pamoja na kuhakikisha Mapato  yatokanayo na Bima ya Afya yanaongezeka

Mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji Mh Husein Simba na Diwani wa kata ya Tambukareli amesema kuwa pamoja na Vituo vya Afya na Zahanti kufanya kazi nzuri ni vema usimamizi ukaongezeka wa kusimamia mienendo ya kinidhamu ya watumishi hasa wa Afya ambao wanalalamikwa pamoja na kufanya kazi zao kwa kutumia weledi na Taaluma zao. Pia katika suala na kuchukua hatua za kinidhamu ni vema hatua hizi zikawa zinachukuliwa mapema na kwa haraka zaidi

Katika Hatua nyingine Mwenyekiti wa kamati ya Elimu , Afya na Maji amemuagiza mhandisi wa Maji wa Wilaya kuhakisha Miradi ya Maji yote inayotekelezwa inasisimamiwa vizuri na inafanyika kwa haraka na kwa vigezo Vinavyokubaliwa

Waheshimiwa Madiwani wakipitia Makabrasha katika kikao cha Kamati ya Elimu ,Afya na maji

Mh Diwani wa Kata ya Ipange Hamis Mwinje akichangaia agenda katika kikao cha kamati  ya Elimu , Afya na Maji

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.