• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MAJALIWA KUFANYA ZIARA SINGIDA

Tarehe ya Kuwekwa: July 14th, 2022

WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa, anatarajia kufanya ziara ya siku nne mkoani Singida ambapo pamoja na mambo mengine atakagua miradi ya maendeleo na kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali.Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida, imeeleza kuwa Waziri Mkuu atanza ziara hiyo kesho  Julai 15 hadi Juali 19, mwaka huu ambapo ataanzia katika Wilaya ya Manyoni.Akiwa katika Kata ya Solya Wilaya ya Manyoni,atapokea taarifa ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Singida ya Solya na kuweka jiwe la msingi na baadaye kupokea taarifa ya mkoa na kisha kuzungumza na watumishi.Aidha,Waziri Mkuu atapokea taarifa na kutembelea ujenzi wa barabara ya kilometa 10 Itigi mjini na baadaye kuzungumza na wananchi na jioni ataweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Mtoa na kisha kuzungumza na wananchi.Julai 16, Waziri Mkuu, atawasili Wilayani Iramba ambapo atatembelea mradi wa maji Misigiri,atazungumza na wananchi  pamoja na  watumishi.Aidha, Waziri Mkuu, Majaliwa atakuwa katika Wilaya ya Makalama ambako atatembelea mradi wa ujenzi wa daraja la mawe na baadaye mchana atazindua ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mkalama na kusalimiana na wananchi.Julai 18, atakuwa katika Wilaya ya Ikungi, atapokea taarifa na kutembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Irisya na mchana atatembelea makazi ya viongozi wa kitaifa.Baadaye ataweka jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha VETA na Hospitali ya Wilaya na kuzungumza na wananchi.Waziri Mkuu atahitimisha ziara yake katika Wilaya ya Singida Julai 19, kwa kuweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Singida na kuzungumza na wananchi.Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atatembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ya Mandewa na kuzungumza na watumishi

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa