• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MBIO ZA MWENGE ZA WASILI MKOANI SINGIDA

Tarehe ya Kuwekwa: August 10th, 2022

Mwenge wa Uhuru Mkoani Singida umejipanga kukagua miradi yenye thamani ya Bilioni 8.28 ikiwa ni jumla ya miradi 35 inayohusu Elimu, Afya, Utawala bora, Maji, Barabara na uwezeshaji wa vijana kiuchumi.

Akihutubia leo tarehe 09.08.2022 Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba baada ya kupokea Mwenge wa Uhuru katika Kijiji cha Mseko kilichopo Wilaya ya Iramba amesema kiasi hicho cha fedha kimejumisha Tsh.Milioni 84.203 ikiwa ni michango ya wananchi, Tsh.Milioni 173.29 ikiwa ni kutoka Halmashauri, Bilioni 6.449 kutoka Serikali Kuu na fedha kutoka kwa wahisani Sh.Bikioni 1.575.

Aidha amebainisha kwamba programu 18 zitazinduliwa na 11 zitawekewa jiwe la msingi ikiwa ni pamoja na programu 42 za Sensa, Rushwa, Malaria, Mapambano dhidi ya dawa za kulevya VVU na miradi ya Lishe.

RC Serukamba akaeleza kwamba katika kipindi cha awamu ya Sita Mkoa wa Singida umepokea jumla ya Tsh.Bilioni 270.371 kutoka Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na kwa wadau wengine kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika Sekta ya Afya Utawala bora Kilimo Uwezeshaji wa vijana Sekta ya Barabara Nishati Maji na Habari na Mawasimiano.

Amesema sekta ya Afya jumla ya Sh.Bilioni 28.4 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa hospitali Nne (4), vituo vya Afya 15 na Ujenzi wa Zahanati utoaji wa chanjo na Ujenzi wa vyoo katika vituo vya kutolea huduma za Afya.

Aidha RC Serukamba amesema miradi mingine ni ya sekta ya Kilimo ambapo wakulima walipatiwa mbegu za ruzuku ya Serikali yenye thamani ya Tsh. Bilioni 2.26 zilizotolewa kwa wakulima wa Mkoa huo.

Hata hivyo amesema jumla ya vikundi 409 vya wanawake, vijana na wenye ulemavu vimefaidika na mfuko wa Taifa wa TASAF na kugharimu Tsh. Bilioni 12.07

Kwa upande wake Sahili Nyanzabara Geraruma Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa amezitaka kila Halmashauri kuhakikisha wanakuwa na nyaraka halisi zinazohusiana na miradi mbalimbali wakati wa ukaguzi.

Amesema kila Halmashauri inatakiwa kuonesha vielelezo vya namna ilivyo peleka fedha kwa vijana ikiwa ni pamoja na miradi iliyoanzishwa.

Amesema ni muhimu kuongeza usimamizi wa miradi ili iweze kuwasaidia wananchi kwa muda mrefu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa