• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Mh. Simba Amevitaka Vikundi vilivyapatiwa Mkopo wa Pikipiki katika Halmashauri ya Itigi Kufanya Kazi kwa Bidii

Tarehe ya Kuwekwa: October 12th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Wilaya Ya Itigi  Mh Hussein Simba  amevitaka Vikundi viwili vilipatiwa Mkopo utokanao na Mapato ya Ndani kufanya Kazi kwa Bidii. Simba Ameyasema hayo wakati wa Makabidhino ya Pikipiki yaliyofanyika nje ya Jengo la Halmashauri  wilaya ya Itigi

“ Niwaombe vikundi hivi viwili Mapambano na Upendo hakikisheni mnafanya Kazi kwa bidi ili muwe Mfano kwenye jamii , tumieni pikipiki hizi vizuri na ziweze kuwanufaisha kiuchumi lakini pia hakikisheni mnarejesha marejesho kwa Mkopo huo usio kuwa na Riba kwa wakati ”

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu John K Mgalula amesema kuwa utoaji wa Asilimia 10 Upo kisheria na halmashauri ya Wilaya ya Itigi itaendelea kuhakikisha utaratibu huo unafanyika kwa Vikundi vyenye sifa ya Kupatiwa mikopo hiyo . Aidha Mgalula amewataka pia Vikundi hivyo vilivyopatiwa Mikopo hiyo kuhakikisha  vinatunza vizuri pikipiki hizo.

Awali akitoa taarifa ya Makabidhino hayo ya Pikipiki  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi Suzan Mushi alisema kuwa Vikundi hivyo vimekidhi sifa naKupelekea kupatiwa Mkopo huo ili waweze kujikimu kiuchumi Bi Suzana Mushi Mushi amesema kuwa Mkopo huo ni wa Kibishara Na unatakiwa kurejeshwa kwa Muda wa mwaka mmoja

Aidha Suzana Mushi Amesema kuwa Katika kuwajengea uwezo vikundi Idara ya Maendeleo ya jamii itaendelea kuhakikisha vikundi vinapatiwa Mafunzo juu ya uwekaji wa Akiba , Kuandaa Katiba , ukopaji na Urejeshaji wa Mikopo

Mwenyekiti wa Kikundi cha Mapambano ndugu Richard Wilson amesema kuwa kwa kweli tunaishukuru sana serikali kwa kutupatia Mkopo huu usio kuwa na Riba na Mkopo huu sisi kama Kikundi  tutahakikisha kinakuwa kikundi cha Mfano kwa kufanya shughuli mbali mbali za Maendeleo Pamoja na Kutoa Ajira kwa Vijana wenzetu

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MHE. DKT MASHINJI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA ZAHANATI YA MGAMBOO

    June 03, 2025
  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa