• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Mkuu wa wilaya ya manyoni amemtaka meneja wa ico general marketing company limited kuzingazia haki za wachimbaji wadogo wadogo wa madini ya jasi

Posted on: August 17th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Solomon Mwangisa Amemtaka Meneja wa ICO GENERAL MARKETING COMPANY LIMITED  Kuzingatia haki za wachimbaji Wadogo wadogo wa Madini ya Jasi. Rahab ametoa maagizo hayo pale alipofanya Ziara ya kutembelea Maeneo ambayo Jasi  inapatikana katika Halmshauri ya Wilaya ya Itigi na kukutana na Wachimbaji hao na kutoa Malalamiko yao ya kuwa haki zao zinaminywa ikiwa ni pamoja na kupewa ujira mdogo kulinganisha na kazi wanayofanya.

Mawazo  peter (33) Mchimbaji  wa Madini ya Jasi katika kata ya Dototo kijiji cha kahomwee alimweleza Mkuu wa Wilaya kuwa Mazingira wanayofanyia kazi ni Magumu kwa Kuwa wanafanya kazi kwa kunyonywa na kufanya kazi bila kuwa vifaa vya kulinda usalama wa Afya zao kama Viatu Maalum nk

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya alitembelea ukarabati wa kituo cha Afya Itigi ambacho Serikali imetoa Sh 400,000,000 na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu Pius Shija Luhende kuendelea kusimamia Majengo hayo kwa Kasi ili kuhakikisha Majengo hayo yanakamilika ili Wananchi waweze kupata Matibabu

Hata ivo Mkuu wa Wilaya alitembelea  Jengo la Utawala linajengwa na Mkandarasi  TBA nakuona  hatua ya ujenzi ilipofikiwa. Naye  Rabbeca ambaye ni Msimamizi wa Ujenzi alimweleza Mkuu wa Wilaya Kuwa fedha zipo na Wao wanaendelea na Ujenzi ili kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo mapema Iwezekanavyo ili jengo hilo liweze kutumika

Mkuu wa Wilaya na Manyoni Mh Rahabu Solomoni Mwangisa akiwa katika Eneo la Wachimbaji wadogo Wadogo na Kuangalia aina Mbali mbali za madini ya Jasi katika Eneo la Kahomwee katika kijiji cha Doroto

Madini ya Jasi yaliwekwa kwenye Viroba tayari kwa Kusafirishwa na kupelekwa viwandani

Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na usalama waliembatana na Mkuu wa Wilaya katika kutembelea kituo cha Afya Itigi

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahab Solomoni Mwangisa (Aliyevalia nyekundu) pamoja na Mkurugenzi wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi wakitembelea Kituo cha Afya Itigi

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahab Solomoni Mwangisa akitoa Maelekezo kwa Mkandarasi wa Jengo la Utawala katika Halmashuri ya Wilaya ya Itigi

Ujenzi wa Jengo la Utawala katika Halmashuri ya Wilaya ya Itigi

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.