• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA ITIGI ARIDHISHWA NA MIRADI YA AFYA

Tarehe ya Kuwekwa: February 11th, 2023

Katika kuendelea kuboresha mazingira ya kutolea huduma za afya nchini Halmashauri ya Wilaya ya Itigi imeweka kiapaumbele katika usimamizi wa miradi ya afya inayotekelezwa katika halmashauri hiyo.

Akizungumza na wanachi katika Kijiji cha Itumba kilichopo Kata ya Mwamagembe ambako mradi wa ujenzi  wa Zahanati unatekelezwa  Mwenyekiti wa Halmashau ya itigi Mh. Hussein Simba amesema  halmashauri imetenga takribani milioni mia moja ili kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo.

Amesema  halmashauri inatambua mchango wao katika ujenzi wa zahanati hiyo  na kuwasisitiza waendelee kujitolea ili mradi ukamilike mapema huku akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kutekeleza miradi mikubwa hususani miradi ya afya katika halmashauri ya Itigi

Nae mganga Mkuu wa halmashauri ya Itigi Dkt.Immanuel Mallange amewapongeza wananchi wa kijiji cha Itumba kwa kuendelea kujitolea kushiriki katika utekelezaji wa mradi wa zahanati hiyo  na kuawaahidi kuwa halmashauri itahakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na viwango.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Mwamagembe Mh. Jonathan Dulle amesema kuwa maendeleo katika Kata hiyo yanakuja kwa kasi na  kuwataka wananchi kuacha kusilkiza propaganda za watu wasiopenda maendeleo na kuwasisitiza wajikite katika shughuli za kiuchumi sanjari na kushiriki katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao.

Ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo  imeanzia  katika mradi mkubwa wa ujenzi wa hospitali ya Wilaya inayojengwa katika mji wa Itigi, zahanati ya Itumba na Zahanati ya Rungwa na maendeleo ya utekeleza ukionekana kumridhisha Mwenyekiti wa halmashauri pamoja na Wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo.

Matangazo

  • BARAZA LA MTIHANI TANZANIA (PSLE-2022/2023) MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA, HALMASHAURI YA ITIGI. December 19, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTUNZA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (3) July 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATUNZA KUMBUKUMBU WALIO FAULU USAILI WA MAHOJIANO ULIO FANYIKA TAREHE 23/11/2022. December 09, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIMU NA MAAFISA ELIMU KATA WAPIGWA MSASA

    March 02, 2023
  • KAMATI YA SIASA CCM MKOA YAKAGUA MIRADI ITIGI DC

    February 17, 2023
  • “MEWAKA’ KUWANOA WALIMU

    February 14, 2023
  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA ITIGI ARIDHISHWA NA MIRADI YA AFYA

    February 11, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa