• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

RAHABU MWAGISA ATOA NENO KWA WADAU WA AFYA H'W ITIGI

Posted on: April 2nd, 2022

Wadau wa afya katika halmashauri ya Itigi mkoani Singida wametakiwa kukutana kila wakati ili kujadili na kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu masuala mbalimbali ya kisekta .

Akizungumza katika kikao kazi cha wadau wa sekta ya afya Mkuu wa wilaya ya Manyoni Bi.Rahabu Mwagisa amewataka wadau hao wa sekta ya afya kuweka ratiba ya kukutana angalau mara tatu kwa mwaka ili kujadiliana na kubadilishana uzoefu na kutafuta suluhisho la pamoja kwa changamoto zinzoikumba sekta hiyo.

Bi.Rahabu amesema kuwa wadau hao wanaweza kuandaa vikao kazi kwa kuishirikisha halmashauri badala ya kusubiri ratiba ya vikao vya halmashauri"naamini suala la pesa kwenu si kipaumbele hivyo mnaweza kuandaa vikao kwa kushirikiana na halmashauri ili tuweze kukutana kama hivi na kujadili masuala mbalimbali ya kiafya yanayoihusu jamii yetu"amesema Bi Rahabu

Kwa upande wake meneja mradi kutoka Action Against Hunger Bwana Daudi Tano ameshauri mafunzo kwa madaktari na wauguzi ni muhimu yakatolewa pasipo na upendeleo"tunapotoa mafunzo na semina kwa madaktari na wauguzi ni muhimu kuweka rekodi ya mahudhurio ili mafunzo yatakayo fuata wasijirudie hao hao"amesema Bw Tano.

Naye mratibu wa afya kutoka shirika la CSSC kanda ya magharibi Mchungaji Godfrey Mdaki  amesema kuwa wapo tayari kuratibu vikao kazi vinvyohusu sekta ya afya kwa kusirikiana na serikali ya Wilayakwa kuwa wamekuwa wakifanya huvyo hata katika maeneo mengine"tushirikiane katiak kuandaa mipango na sisi tupo tayari kuratibu kwa upande wa kifedha"amesema mchungaji Mdaki

Awali akiwasilisha taarifa ya sekta ya afya Mganga mkuu wa Halmashauri ya Itigi Dkt Emmanuel Mallange amesema halmashauri bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali katika kutoa huduma za afya ikiwa ni pamoja na ukosefu wa magari ya wagonjwa kwa vituo vilivyombali na hospitali,uhaba wa vitendea kazi hususani katika wodi za wazazi pamoja na uhaba wa wataalamu wa kufun ga uzazi huku akiwashukuru wadau wa afya  kwa kushirikiana na serikali katika  kutatua changamoto za kisekta katika halmashauri hiyo.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.