• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

RC.SERUKAMBA ATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI ,ITAGATA

Tarehe ya Kuwekwa: August 12th, 2022

Mkuu Wa Mkoa Wa Singida Peter Serukamba amewataka wakulima waliopewa mashamba kwenye Skimu ya umwagiliaji Itagata katika halmashauri ya Itigi mkoani Singida kuyaendeleza haraka mashamba hayo kwa kuyalima mazao yenye tija kwa mtu binafsi na serikali vinginevyo serikali itawanyang'anya na kuwapa watu wengine.

RC Serukamba amesema hayo baada ya kufanya ziara ya kikazi kukagua shughuli za kilimo zinazofanywa na wakulima kwenye skimu hiyo ambayo imeigharimu serikali bilioni 2.1 hadi kukamilika kwake.

Akiwa katika mashamba ya wakulima kwenye skimu ya Umwagiliaji Itagata Itigi RC Serukamba amesikitishwa na kilimo kinavyoendelea ambapo kati ya ekari 209 walizogawiwa wakulima ambao ni wananchama wa umoja wa umwagiliaji Itigi ekari 40 tu ndizo walizolima muda Wa kiangazi jambo ambalo amesema halitakubalika

"Serikali imewekeza fedha nyingi sana kwenye mradi huu na Mimi nimefika kwenye mashamba haya nimeyaona,watu wengi hawajalima kuna jumla ya ekari 209 lakini ekari zilizolimwa kiangazi hiki ni 40 tu mashamba na maji yapo, sasa hii haikubaliki lazima watu walime ili kuisaidia serikali kupata mapato,tume ya umwagiliaji nao wapate tozo zao" alisema Serukamba

Aidha Mhe. Serukamba ameongeza kwa kuwataka wananchama wote Wa ushirikia kuandaa mkutano ambao utakuja kubainisha na kuwatambua wakulima waliopewa mashamba, na ambapo wanalima kutumia skimu hiyo.

"Mwezi Wa tisa mwenyekiti andaa mkutano na wanachama wako ili tuje tujue nani analima na nani halimi ili wale ambao hawalimi tuwaondolee mashamba tuwape wengine ambao watalima na kuipa serikali mapato pamoja na tume ya umwagiliaji" Aliongeza Mkuu huyo wa Mkoa Singida

Mkuu huyo wa mkoa alisisitiza kuwa faida atakayoipata mkulima kupitia kilimo kwenye skimu hiyo itamrahishia maisha kiuchumi ataweza kuhudumia familia, kulipa bima ya afya pamoja na kuchangia maendeleo ya taifa lake.

Akizungumza mbele ya Mkuu Wa Mkoa mkulima anayejulikana kama Chacha Marwa Alisema kuwa changamoto mojawapo inayopelekea wakulima wengi kutolima ni kushindwa kutambua aina ya udongo pamoja na baadhi ya Wanachama wa umoja huo wa umwagiliaji Wa waliopewa mashamba kuyakodisha kwa watu wengine wengine

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa