• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

Tarehe ya Kuwekwa: October 17th, 2024



  • Katika kuhakikisha Wazee wanapata huduma stahiki za afya serikali Imeendelea kuwapatia vitambulisho vya matibabu bure za bima za afya iliyoboreshwa (CHF) ambapo kwa mwaka 2023-2024 wazee 46,995 wametambuliwa nakuendelea kupatiwa huduma za matibabu bure.

    Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi Dkt.Emmanuel Mallange kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani ambapo kimkoa yamefanyika katika halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Dkt.Mallange amesema sambamba na huduma za afya kwa wazee serikali imeendelea kuboresha makazi ya Wazee ya Sukamahela pamoja na kutekeleza mikakati ya Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wazee

    Awali akisoma risala Katibu wa Baraza la Ushauri la Wazee Ndg.Ramadhani Tuji ameiomba serikali kuimarisha madirisha ya wazee katika vituo vya kutolea huduma,kutoa misamaha mbalimbali kama vile msamaha wa kodi za majengo na huduma za matibabu

    Aidha ameimba serikali kuwashirikisha Wazee katika vikao mbalimbali vya maamuzi ili waweze kutoa ushauri

    Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt.Shila Mwashiuya ameitaka jamii kuwajali wazee ili waweze kuzeeka kwa heshima huku akiwasisitaza wazee kwenda kujiandikisha kwenye orodha ya mpiga kura pamoja na kuhamasisha vijana kujiandikisha ili waweze kushiriki kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa .







Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa