• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

SHAMBA LA SERIKALI LA KITARAKA KUFANYIWA UENDELEZWAJI

Posted on: July 8th, 2023

Shamba la serikali lililopo katika Halmashauri ya wilaya ya Itigi Mkoani Singida lipo katika mpango wa kufanyiwa uendelezaji na serikali ili kuleta tija kwa taifa  

Akizungumza na wananchi katika vijiji vya Kitaraka,Doroto na Kazikazi vinavyopakana na shamba hilo lenye ukubwa wa takribani ekari elfu 45  Mkurugenzi msaidizi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu na Mratibu wa Kamati ya Wataalamu ya kufanya utambuzi na tathmini ya shamba hilo Bi. Lina Kitosi amesema katika nyakati tofauti serikali imekua ikiangalia namna bora ya matumizi ya shamba hilo.

Amesema serikali ina nia thabiti ya kulifanyia uendelezaji shamba hilo hivyo Kamati inahitaji taarifa sahihi kuhusu idadi ya wananchi wanaolima katika shamba hilo ili serikali iweze kupanga matumizi kwa utaratibu unaofaa ili kuepuka mgogoro na kuwa na maslahi kwa pande zote mbili.

Naye Mbunge wa Jimbo la Manyoni magharibi Mhe. Yahaya Massare amewataka wananchi kutokuwa na hofu kwa kuwa serikali inataka kutambua eneo la shamba hilo na kuandaa mgawanyo kwa ajili ya matumizi ya serikali pamoja na wananchi huku akiimba Kamati hiyo kuchukua maoni ya wananchi ili kuepusha migogoro.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Itigi Mhe. Hussein Simba amewaomba wananchi kutoa ushiikiano kwa Kamati inayoratibu zoezi hilo na kukubali maelekezo kwa kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha shamba hilo linapangwa na  kutumika kwa njia inayofaa kwa maslahi ya taifa.

Baadhi ya  wakulima wanaolima katika shamba hilo Bw.Stephano Mwakijengi na Jackson Philipo wakaazi wa kijiji cha Kitaraka wameiomba serikali kufanya tathmini yakinifu ili kubaini maeneo ambayo yanaweza kutengwa kwa ajili ya matumizi ya wananchi kwa shughuli za kilimo na ufugaji.

Kamati hiyo maalumu imejumisha wajumbe kutoka ofisi ya Waziri Mkuu,ofisi ya Rais TAMISEMI,Wizara ya mifugo,Maliasili,Ardhi,Mambo ya ndani,Ujumbe kutoka ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Singida pamoja na wataalamu kutoka Halmashauri ya wilaya ya Itigi


Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.