• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

Tarehe ya Kuwekwa: November 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego amesisitiza ulinzi kwa wanafunzi hususani wa jinsia ya kike wakiwa ndani na nje ya shule ili kuwawezesha kuzifikia ndoto zao za maisha pamoja na kuwawezesha kusoma katika mazingira bora na rafiki kwao.

Ameyasema hayo Novemba 7,2024 katika Shule ya Sekondari Kitaraka katika Halmashauri ya Itigi alipokwenda kukagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu(Two in One)kupitia Programu ya maendeleo ya Sequip.


Mhe.Dendego amesema licha ya kuwa serikali na jamii inatumia nguvu kubwa kuwalinda watoto wa kike dhidi ya ulaghai unaoweza kupelekea ndoto zao kuharibika,lakini ni wajibu wao kuhakikisha wanajilindavpoa kwa kujiheshimu na kujiweka mbali na ushawishi wa wote ambao wanaonyesha dalili mbaya dhidi yao kwani ikiwa watapata ujauzito wakiwa katika masomo ni wazi kuwa nao wameshiriki katika kujiweka katika matatizo hivyo ni wazi nao watawajibika na sio upande wa mwanaume pekee.


"Wanafunzi ni nyara za serikali zenye gharama kubwa sana,ndio sababu serikali ikaweka sheria ya miaka thelathini kwa watakaokiuka na kuwalaghai watoto wa kike,tutawalinda siku zote mchana na usiku".amesema Mhe.Dendego.

Licha ya hayo ameagiza watoto wapewe kipaumbele katika kusoma kwa kushiriki masomo darasani na wenzao hata kwa wale ambao hawana sare za shule wasirudishwe nyumbani bali wapewe nafasi huku wakiendelea kuwa na utayari.


"Watoto wasio na uniform wasifukuzwe darasani,tunachotaka watoto wapate elimu,na katika Mkoa wa Singida kwasasa tuna operesheni ya kutokomeza matokeo ya daraja la nne na daraja ziro".


Sambamba na hilo,amesisitiza utunzwaji mzuri wa nyumba hizo za waalimu kwa kuhakikisha utunzwaji wa mazingira kwa kupanda miti maeneo yote yanayozunguka eneo hilo kwa lengo la kutunza mazingira lakini pia kujipatia kipato kutokana na miti kama aina ya mikorosho.


Pia ameagiza upatikanaji wa bendera ya Taifa shuleni hapo itakayotumika wakati wa kuimba wimbo wa Taifa,pia ameagiza ukarabati kwa Shule kuboreshwa zaidi na kuwa na muonekano wa kuvutia.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa