• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

TOZO YA PUMBA NA MASHUDU YAKUBALIKA

Posted on: January 28th, 2022


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bw. John Mgalula amewashauri wajumbe wa baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kuridhia mpango wa kutoza ushuru  kwa mashudu ya alizeti na pumba za mahindi na mpunga yanayotumika kutengenezea  vyakula vya mifugo  kwa wanunuzi wanaovusha bidhaa hizo nje ya halmashauri.

Mheshimiwa Mgalula ametoa ushauri huo katika kikao cha Baraza la halmashauri akitolea ufafanuzi hoja ya Mh. Ali Minja,Diwani wa kata ya Itigi Majengo kuwa halmashauri inapaswa kufikiria vyanzo mbadala vya mapato badala ya kutoza ushuru kwa bidhaa za pumba na mashudu na kuwaongezea mzigo wananchi wanaotaka kujikwamua kiuchumikupitia ufugaji.

Bwana Mgalula amesema kuwa bidhaa hizo zitatozwa ushuru kulingana na uzito unaoanzia tani tano (5 ) na kuendelea  hususani kwa wafanyabiashara na wafugaji wanaovusha kwenda nje ya halmashauri na kusisitiza kuwa tozo hiyo haitamgusa mkazi wa ndani ya halmashauri anayetumia bidhaa hizo kwa shughuli za kawaida za kujiongezea kipato.

Akitolea ufafanuzi suala hilo Afisa kilimo Halmashauri ya Itigi Bw. John Chao ameeleza kuwa pumba na mashudu yatatozwa ushuru  kwa uzito wa tani moja kwa shilingi elfu tano(tani 1= tsh.5000)na kwa gari lililobeba bidhaa hizo pia litatozwa ushuru huku Mwanasheria mkuu wa Halmashauri Bw.Gilbart Kalanda  akiongeza kuwa katika mikoa mingine hasa ya kanda ya magharibi wamekuwa wamekuwa wakitoza ushuru kwa bidhaa hizo.

Akihitimisha mjadala wa hoja hiyo,Mwenyekiti wa Halmashauri ya itigi Mh.Hussein Ibrahim Simba amesema tozo hiyo imewalenga wafanyabiashara wakubwa   na haitawagusa wakaazi wa halmashauri yake kwa kuwa lengo la tozo hiyo ni kuongeza kipato kwa ajili ya ustawi wa halmashauri hiyo.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.