• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

TUKAMILISHE UJENZI WA MADARASA KWA WAKATI-SERUKAMBA

Tarehe ya Kuwekwa: November 30th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba ameiagiza halmashauri ya Itigi kutumia fedha za makusanyo ya ndani (own source) kujenga darasa moja kwa kila shule ya sekondari iliyopata fedha za ujenzi wa madarasa kutoka serikali kuu.

Mkuu wa mkoa ametoa maagizo hayo leo tarehe 30/11/2022 wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa madarasa mapya kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mnamo januari 2023 katika halmashauri ya Itigi na kusema kuwa halimashauri inapaswa kujenga angalau darasa moja kwa kila shule kumi zilizopata mgawa wa fedha kutoka serikali kuu ili kupunguza uhaba wa madarasa.

Pamoja na kuridhishwa na mwenendo wa utekelezaji, Serukamba amewataka  Mkuu wa wilaya ya Manyoni na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Itigi kuongeza msukumo wa usimamizi wa ujenzi wa miundombinu hiyo ya elimu kwa kufanya ziara mara kwa mara ili iweze kukamilika kwa wakati na kwa viwango kulingana na thamani ya fedha zilizotolewa.

“Tunataka kufikia tarehe 15 mwezi ujao(Disemba) madarasa yote yawe yamekamilika na tuyakabidhi yakiwa complete”alisisitiza .

Kwa upande wake mkuu wa shule ya Sekondari ya Kimadoi Mwl.Juma Kirina ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mh.Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na kusema  kuwa hatua hiyo itaongeza ari ya wanafunzi kujifunza kwa bidii na kuahidi kwamba madarasa hayo yatakamilika kwa wakati ili kuruhusu wanafunzi watakao chaguliwa kuanza kidato cha kwanza januari 2023 kuanza kuyatumia.

Matangazo

  • BARAZA LA MTIHANI TANZANIA (PSLE-2022/2023) MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA, HALMASHAURI YA ITIGI. December 19, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTUNZA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (3) July 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATUNZA KUMBUKUMBU WALIO FAULU USAILI WA MAHOJIANO ULIO FANYIKA TAREHE 23/11/2022. December 09, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WADAU WAHIMIZWA KUSHIRIKI KUINUA UBORA WA ELIMU NCHINI

    February 01, 2023
  • WADAU WA AFYA H'W ITIGI WAPEWA SOMO

    January 30, 2023
  • WAFUGAJI NYUKI ITIGI DC WAUNDA JUMUIYA

    January 25, 2023
  • UTAWALA DAY

    December 06, 2022
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa