• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

TUWAVUSHE SALAMA

Tarehe ya Kuwekwa: January 28th, 2022


Afisa tawala Halmashauri ya Wilaya ya  Manyoni Mh.Leila Sawe amewataka waganga wafawidhi pamoja na maafisa watendaji wa vijiji kufanya kazi kwa ushirikiano ili KUWAVUSH A SALAMA akina mama wjawazito na watoto hasa wenye vidokezo vya hatari.

Mh.Leila Sawe kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Mwagisa amesema hayo wakati wa kikao cha kutoa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA TAMKO LA JIONGEZE TUWAVUSHE SALAMA kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Itigi.

Akiwasilisha taarifa ya afua za lishe kwa kipindi cha mwezi Julai-Septemba 2021, Mratibu wa lishe na Muuguzi Mkuu wa Wilaya Ndg FREDERICK GAISHA.amesisitiza suala la mama wajawazito kuanza kliniki mapema kabla ya miezi mitatu ili afanyiwe uchunguzi wa kutosha na utambuzi wa dalili za hatari mapema na kupatiwa suluhisho kabla muda wa kujifungua.

Amesema takwimu zinaonesha katika ngazi ya jamii kuwepo kwa tatizo la lishe duni kwa wajawazito hivyo kupelekea ongezeko la watoto wanaozaliwa na uzito pungufu hadi kufikia 3.8% kwa kipindi cha mwezi Julai –Septemba huku akibainisha hali ya Watoto wenye hali nzuri ya lishe kuwa ni asilimia 99.8%, utapiamlo wa kadri ni 1%, na Utapiamlo mkali ni 0.1%.

Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi DR. EMMANUEL S. MALLANGE amewahimiza akina mama wajawazito kuanza kliniki mapema chini ya wiki 12 na elimu ya uzazi salama na lishe itolewe kupitia mikutano na makongamano kwa wingi ili kuwaelimisha juu ya umuhimu wa kuhudhuria mapema kliniki sanjari kuhamasisha Kampeni za Vitamini A inayotarajia kuanza hivi karibuni kuanzia ngazi ya Kata. Vijiji hadi Vitongoji,

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MHE. DKT MASHINJI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA ZAHANATI YA MGAMBOO

    June 03, 2025
  • MSIGWA ATETA NA MAAFISA HABARI WA ORTAMISEMI

    May 24, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa