• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

WADAU WA AFYA H'W ITIGI WAPEWA SOMO

Posted on: January 30th, 2023

Wadau wa afya wametakiwa kutoa elimu kwa jamii juu ya tabia chanya kuhusu huduma mbalimbali za afya kwa watu wenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI pamoja na matumizi sahihi ya dawa za kufubaza makali ya virusi hivyo.

Akizungumza katika kikao kazi cha wadau wa afya kilichofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi juu ya mabadiliko ya tabia na uhamasishaji katika jamii,Mratibu wa shughuli za uhamasishaji na mabadiliko ya tabia katika jamii kutoka USAID-Afya Yangu Ndugu Kisibwi Maendeka  na kusisitiza kuwa kumekuwa na ongezeko la idadi ya watoro katika huduma za tiba na matunzo huku sababu ikibainishwa kuwa ni uelewa duni juu ya huduma mbalimbali za afya zinazotolewa kwa watu wenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Amesema USAID-Afya Yangu kwa kushirikiana na Serikali kupitia ngazi za halmashauri wameweka mikakati ya kupinga mila na imani potofu pamoja na tamaduni kandamizi ndani ya jamii  za kuzuia wengine wasipate huduma stahiki za afya

Awali akifungua kikao kazi hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mh. Hussein Simba aamewashukuru wadau wa afya kutoka USAID-Afya yangu kwa kuiingza halmashauri hiyo katika mradi wa miaka mitano wa kusaidia watu wenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI,TB na Uzazi wa mpango na kuwataka wadau wa afya  ngazi ya halmashauri kuwa chachu katika kuelimisha jamii nzima kuhusu masuala mbalimbali ya afya.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Utumishi katika Halmashauri ya Itigi  Bi. Joyce Masoga  kwa niaba ya wadau wa afya kutoka sekta mtambuka ngazi ya halmashuri amesema kuwa wapo tayari kwa kushirikiana na wadau wengine kutoa kuielimisha jamii kuhusu huduma mbalimbali za afya zinazotolewa na serikali ili kuwa na jamii yenye afya  kwa maendeleo ya Taifa.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.