• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

WAFAMASIA ITIGI DC,WAKUTANA KUWEKA MIKAKATI

Posted on: April 14th, 2023

Wamiliki wa maduka ya dawa muhimu pamoja na watoa dawa wametakiwa kufanya kazi zao kwa kuzingatia kanuni na taratibu za kitaaluma katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuepusha madhara yanayotokana na matumizi  yasiyofaa ya dawa kwa binadamu

Akifunga kikao kazi cha wafamasia pamoja na wamiliki wa maduka ya dawa muhimu  katika halmashauri ya Itigi Afisa Lishe Bi.Darln Hassan kwa niaba ya Mkuu wa Divisheni ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Dkt Emmanuel Mallange amesisitiza kuwa  wadau hao wanapaswa kutoa huduma kulingana na usajili wa maduka yao sambamba na kuhakikisha wale wote wenye maduka bubu wanasajili maduka yao mapema.

Naye Mfamasia wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bi. Scola Shunu amesema kuwa mwaka2022  uhakiki wavyeti vya watoa dawa ulifanyika na kubaini kuwa watu kumi na sita pekee kati ya arobaini na sita ambao walishiriki katika uhakiki huo  ndio walikuwa na vyeti halali na kuwataka wadau hao kuacha kughushi vyeti kwa kuwa kada hiyo ni nyeti na inagusa uhai wa binadamu moja kwa moja

Aidha amewataka wadau hao wa afya kuwa tayari kutoa elimu ya matumizi sahihi ya dawa kwa jamii kwa kuwa takwimu zinaonesha kuwa jamii bado haina uelewa wa kutosha wa matumizi sahihi ya dawa.

Kwa upande wake mmiliki wa duka la dawa muhimu Dkt. Mengi Kanazi amebainisha baadhi ya changamoto zinazowakabili watoa huduma hao wa dawa kwa ni pamoja na baadhi ya watoa dawa kuuza dawa  isiyofikia kiwango cha dozi hali inayopelekea usugu wa vimelea vya magonjwa pia kuangalia namna wamiliki wa maduka kuweka bei za dawa zinazolingana kwa maduka yote huku akishukuru kwa kikao kazi hicho kwa kuwakutanisha na kuwajengea uwezo utakao wasaidia kuongeza ufanisi katika majukumu yao.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.