• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

WANANCHI KATA YA IPANDE WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MASUALA YA AFYA

Posted on: August 21st, 2023

Wito umetolewa kwa wanaume kushirilkiana na wake zao katika masuala yanayohusu uzazi salama wenye kujali jinsia ili kuepusha vifo visivyo vya lazima vinavyoweza kutokea kwa akina mama wajawazito na watoto

Muuguzi Mkuu wa halmashauri ya Itigi Ndg.Frederick Gaisha amesema hayo katika mkutano na wananchi wa Kata ya Ipande halmashauri ya wilaya ya Itigi katika programu endelevu ya kutoa elimu ya uzazi salama ngazi ya jamii wenye kujali jinsia (RMNICAH) pamoja na kutoa hamasa ya ujenzi wa vyoo bora na usafi wa mazingira ngazi ya kaya,

Ndg.Gaisha amewataka akina mama wajawazito kuanza kuhudhuria kliniki mapema kabla ya miezi mitatu ili kufanyiwa uchunguzi pamoja na kujifungulia katika zahanati au hospitali ili kuepusha vifo vitokanavyo na uzazi.

Amesisitiza kuwa wanaume wanawajibu mkubwa wa kuwasaidia wake zao katika kipindi cha ujauzito hasa kuhakikisha wanamiliki mfuko wa maandalizi binafsi wa mama mjamzito kwa miezi nane kabla ya kumkabidhi mjamzito tayari kwa matumizi.

Vilevile Gaisha amewataka wanaume kuzingatia umuhumu na faida za lishe bora kwa mama mjamzito na wakati wa kunyonyesha  ili kuepusha madhara yanayotokana na ukosefu wa lishe ikiwa ni pamoja na udumavu au vifo kwa watoto wachanga huku akiwasisitiza wanaume kuwapunguzia kazi akina mama katika vipindi hivyo.

Kwa upande wake Afisa afya wa halmashauri hiyo Ndg. Lyambogo Malembo amewasisitiza wakazi wa Ipande kuzingatia sheria ndogo ndogo za usafi wa mazingira zilizopitishwa kupitia mikutano ya serikali ya Kijiji ikwa ni pamoja na ujenzi wa vyoo bora na kuvitumia.

Aidha Afisa afya amesema choo bora lazima kiwe na kuta nne ili kulinda faragha ya mtumiaji,paa,sakafu,maji pamoja na sabuni ili kijikinga na magonjwa ya mlipuko.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.