• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi watakiwa kuchangia Miradi ya Maendeleo-Minja

Tarehe ya Kuwekwa: October 12th, 2018

Kamati ya uchumi, uongozi na Mipango imewataka wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi kuchangia Miradi ya maendeleo katika Maeneo yao. Kamati hiyo inayoongozwa na Mh Ally J Minja na Mwenyekiti wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi  Imewataka Wananchi hao pale ilipotembelea Miradi ya Maendeleo katika kata na vijiji Mbalimbali katika halmashuri ya Wilaya ya Itigi

Kamati hiyo ilifanya Ziara yake ya kukagua Miradi ya Maendeleo kwa kuanzia Kata ya Idondyandole kijiji cha Mbugani kwa kukagua na kujionea Mradi wa Ujenzi wa Zahanati ambao mradi huo unatokana na nguvu za Wananchi. Kata ya Aghondi kamati ilitembelea pia mradi wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Mabondeni ambapo kwenye mradi huu wananchi wameanza kwa Kujitolea kuchimba Msingi  kwa Ajili ya Kuanza ujenzi wa Zahanati hiyo  

Hata hivyo kamati iliendelea na ziara yake hiyo kwa siku ya kwanza katika kata ya Ipande katika kijiji cha Damwelu na kukagua na kujionea Ujenzi wa  shule Shikizi ya Mgamboo pamoja. Katika kata ya Tambukareli kamati ilitembelea katika Shule ya Msingi Mji mpya na kujionea Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa  na Ofisi 1 ya Walimu. Pia kata hiyo ya Tambukareli kamati ilitembelea shule shikizi kihanju. 

Kamati pia ilitembelea Mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Mitundu B na kuona ujenzi wa matundu 22 ya Vyoo katika kata hiyo ya Mitundu kamati pia ilitembelea Mradi wa maji wa pump ya Mkono 

Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango ilimazia ziara yake katika Kata ya Kalangali kijiji cha Tulieni na kujionea ujenzi wa vyumba madarasa pamoja na ujenzi wa Zahanati 

Kamati ya uongozi na Mipango iliendelea na kutembelea Miradi siku pili kwa kutembelea Miradi katika kata ya kalangali ,Mwamagembe na kata ya Rungwa . katika kata ya Mwamagembe kamati ilimbelea ujenzi wa Shule shikizi itumba , Shule shikizi wila na Shule Shikizi Ngilimalole pamoja na kutembelea ukarabati wa kituo cha polisi mwamagembe  na kutembelea eneo ambalo kata ya Mwamagembe inapendekeza kujengwa kwa Shule Sekondari. Pia katika kata ya Rungwa kamati ilitembelea Ujenzi wa Bwawa la rungwa, Ukarabati wa Kituo cha Polisi Rungwa , Ujenzi wa Pump ya Mkono ya Maji pamoja na Ujenzi wa Daraja la Gwata

Kamati ya fedha uongozi na Mipango ikipokea Taarifa ya Ujenzi wa Pump ya Mkono katika Kata ya Mitundu halmashauri ya Wilaya ya Itigi

Mwenyekiti wa kamati ya fedha, uongozi na Mipango na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi Mh Ally J Minja akimtwisha mwananchi ndoo ya maji

Ujenzi wa matundu ya vyoo ya katika shule ya Msingi Msingi Mitundu B

Kamati  ya fedha uongozi na Mipango ikipokea Taarifa ya Ujenzi wa Madarasa Shule ya Msingi Tulieni katika Kata ya Kalangali

Mwenyekiti wa kamati ya Fedha uongozi ,na mipango Mh Ally Minja Akizungumza na Wanafunzi katika shule ya Msingi Kalangali


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa