• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Wananchi wa Itigi waupokea Mwenge wa uhuru kwa shangwe

Tarehe ya Kuwekwa: August 9th, 2018

 

Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi waupokea Mwenge wa uhuru kwa shangwe. Wananchi hao pamoja na Viongozi mbalimbali wameupokea Mwenge huo wa uhuru katika kata ya idodyandole katika kijiji cha kashangu ambapo Mwenge huo Ulipotokea katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Itigi akiupokea Mwenge huo kutoka kwa Charles Fussi Mkurugenzi wa Wilaya ya Manyoni alisema kuwa ameupokea mwenge huo na Utakimbizwa katika halmashauri ya Wilaya ya Itigi na kufanya kazi za Kuweka Mawe ya Msingi , kutembelea   na  Kuona Miradi Mbalimbali katika Halmashauri hiyo.

Baada ya Mapokezi hayo Mwenge wa Uhuru ulianza kukimbizwa kuelekea kijiji cha Ipangamasasi na kuweka jiwe la msingi  la ujenzi wa Vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja, Matundu 4 ya Vyoo vya wanafunzi pamoja na tundu moja la choo cha Walimu

Aidha katika hatua nyingine mkimbiza Mwenge kitaifa Mhandisi Charles Kabeho aliweza kutoa pongezi na kutoa cheti kwa  Mwanachi ambaye alitoa eneo hilo ili shule iyo iweze kujengwa pamoja na ivo kabeho aliweza kutoa shukrani zake za dhati kwa Walimu wawili ambao wamekuwa wakijitolea muda wote kuwafundisha wanafunzi hao  ambapo wanatoka umbali wa kilomita 13 kutoka shule mama ya Idodyandole

Kabeho pia aliweka jiwe la Msingi katika Zahanati ya Mbugani na kuwashukuru  sana  Wananchi kwa kutoa nguvu zao kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati ambayo itawasaidia katika kupata matibabu. Katika hatua nyingine Mkimbiza mwenge wa Uhuru alikabidhi  vyandarua kwa wajawazito na kuwataka kuvitumia  vyandarua hivyo kwa malengo yaliyokusudiwa

Pia mkimbiza mwenge aliweka jiwe la msingi katika Mradi wa maji unaotumia nishati ya Upepo katika kata ya Majengo kijiji cha Ziginali kwa niaba ya Mapepea 16  ambayo yamekarabatiwa 14 na 2 yametengenezwa upya.

Mkimbiza Mwenge Kitaifa Mhandisi Charles Kabeho Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa kuwa na Miradi mizuri na yenye tija kwa Wananchi

Katika Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru katika kijiji cha Mkiwa katika Halmashauri ya wilaya ya Ikungu  Mh Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwangisa alimshukuru mkimbiza mwenge kitaifa kwa kuukimbiza mwenge wa uhuru katika Wilaya ya Manyoni ambapo kuna Halmashauri mbili ya Manyoni na Halmashuri ya Wilaya ya Itigi na Kuweza kufungua , kuweka , kutembelea na kuona miradi mbalimbali ambayo itawasidia sana wananchi katika shughuli mbalimbali za kijamii, kiuchumi n.k

Mh Mwenyekiti wa Halmashuri ya Wilaya ya Itigi akiwa pamoja na Madiwani wa Halmashauri ya wilaya Itigi katika eneo la mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika kijiji cha kashangu Kata ya Idodyandole

Wananchi  na Wataalamu wakiserebuka katika maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kijiji cha kashangu Kata ya idodyandole

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI

    December 10, 2024
  • SITAKI KUONA MTU ANACHEZA NA WATOTO WA SHULE-RC DENDEGO

    November 10, 2024
  • DC MANYONI APIGA MARUFUKU UKATAJI WA VICHAKA VYA ITIGI

    November 01, 2024
  • SERIKALI KUBORESHA HALI YA WAZEE

    October 17, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa