• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

WANANCHI WAHIMIZWA KUTUNZA CHAKULA

Tarehe ya Kuwekwa: August 10th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Kemirembe Lwota amewataka wananchi kutunza na kuweka akiba ya chakula ili kuepuka changamoto ya uhaba wa chakula katika kipindi cha msimu wa masika.

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2022/2023, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi pamoja na mambo mengine amewaagiza Madiwani kuwakumbusha wananchi katika maeneo yao kutunza chakula walicho nacho kwa kuwa taarifa za awali za hali ya hewa zinaonesha huenda kukawa na kiwango kikubwa cha mvua na kusababisha changamoto katika shughuli za kilimo.

Aidha Mhe Lwota ameiagiza Halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato pamoja na kukamilisha ujenzi wa Maegesho ya maroli ili halmashauri iweze kukusanya mapato.

Wakati huo huo, Mhe Lwota amezitaka taasisi za TANESCO,TARURA na RUWASA kuwasilisha taarifa za utekelezaji kwa wakati pamoja na kuhudhuria vikao vya kikanuni katika halmashauri hiyo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mhe. Hussein Simba amewasisitiza Waheshiwa Madiwani na wataalamu katika Ofisi ya Mkurugenzi kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuwasaidia wananchi kufikia maendeleo .

Naye Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Ndg.Jumanne Makanda ameipongeza Halmashauri ya Itigi kwa kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuendelea kutekeleza ilani inayobeba maono ya serikali huku akiiomba sekta ya maliasili kuwasaidia wananchi katika suala la ulinzi kutokana na uvamizi wa wanyama pori ikiwemo tembo ambao wamekuwa wakisababishia hasara wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODI MAGARI KWA AJILI YA KAZI ZA MITIHIANI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI , SEPTEMBA 12 HADI 14,2023 August 17, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA KATIBU MAHSUSI July 14, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATUNZA KUMBUKUMBU WALIO FAULU USAILI WA MAHOJIANO ULIO FANYIKA TAREHE 23/11/2022. December 09, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MHE.RIDHIWANI AZUNGUMZA NA WANUFAIKA WA TASF ITIGI DC

    August 28, 2023
  • DC.LWOTA AZINDUA ZAHANATI KITONGOJI CHA IKANAMALENGA

    August 24, 2023
  • WANANCHI KATA YA IPANDE WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MASUALA YA AFYA

    August 21, 2023
  • WALIMU WA SAYANSI ITIGI DC WAPIGWA MSASA

    August 12, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa