• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Secondary Education

KAZI/SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI

1.         Kurekebisha ikama ya Walimu ili kuboresha na kurahisisha utendaji kazi (ufundishaji) katika kuinua kiwango cha Taaluma.

2.         Kusimamia, kufuatilia na kuwezesha Walimu kwenda likizo na upatikanaji wa nauli zao.

3.         Kupanga mikakati ya utendaji na uwajibikaji katika kusimamia na kuinua kiwango cha taaluma kwa kufanya vikao na Wadau wa Elimu kama vile Wakuu wa Shule na Walimu.

4.         Kusimamia na kuwezesha upatikanaji wa fedha za Ruzuku ya kuendeshea Shule pamoja na kufuatilia na kusimamia matumizi ya fedha hizo kwa kushirikiana na Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu.

5.         Kuwezesha na kufuatilia upatikanaji wa gharama za mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi kwa Walimu ili kuongeza kiwango cha ufanisi kazini.

6.         Kufuatilia na kusimamia upatikanaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia Shuleni ili kuinua kiwango cha taaluma shuleni.

7.         Kuwezesha upatikanaji wa gharama za chakula cha Wanafunzi shuleni kwa (Shule za Bweni).

8.         Kusimamia na kufuatilia ufundishaji na ujifunzaji ili kuinua kiwango cha taaluma shuleni na ndani ya Halmashauri.

9.         Kufuatilia na kusimamia uendeshaji wa Mitihani ya Kitaifa ya Kidato cha II, IV,  na Vyuo vya Ualimu na Vyuo vya Ufundi ndani ya Wilaya.

10.       Kufuatilia uendeshaji na ufanyikaji wa Mitihani ya ndani kama vile Mitihani ya utamilifu na Mitihani ya mihula.

11.       Kuwezesha, kufuatilia na kusimamia ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali shuleni ili kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji katika Shule.

12.       Kusimamia na kufuatilia upatikanaji wa samani mbalimbali Shuleni.

13.       Kufuatilia na kuwezesha uboreshaji wa mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji ili yawe mazingira rafiki katika ufundishaji na ujifunzaji.

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.