• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

Video

  • ALAT MKOA WA SINGIDA WAMPONGEZA RAIS

    March 22nd, 2022

                                     ALAT MKOA WA SINGIDA WAMPONGEZA RAIS

    Wajumbe wa jumuiya ya tawala za mikoa Tanzania ALAT mkoa wa Singida wamempongeza Mheshimiwa Rais  Samia Suluhu Hassani kwa kuibua na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini

     Akizungumza katika mkutano wa kujadili masuala mbalimbali yakiwemo miradi ya elimu,afya na yanayohusu sekta ya kilimo uliofanyika katika Halmashauri ya Itigi,Mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Singida Mhe. James J. Mkwega amesema  kuwa wajumbe wamepitisha kwa pamoja azimio la kumpongeza Rais kutokana na juhudi zake katika kutekeleza miradi mbalimbali kwa kipindi cha mwaka mmoja cha uongozi wake.

    Mhe. Mkwega amesema kuwa azimio hilo la kumpongeza Rais limekuja baada ya kuridhishwa na kasi ya utendaji wake wa kazi “sisi wana Singida kupitia wajumbe wa ALAT mkoa tunampongeza sana rais kwa yale anayotufanyia kwa kipindi hiki kifupi cha utumishi wake” alisema Mkwega.

    Akiwasilisha pongezi kwa Mheshimiwa rais kwa niaba ya wajumbe wa ALAT,makamu wa mwenyekiti ALAT mkoa wa Singida Bi.Yagi Kiaratu amesema kuwa tangu awali mheshimiwa rais alionesha wazi dhamira ya dhati ya kuwaletea wanachi wa Tanzania maendeleo.

    Amesema kuwa rais ameifungua Tanzania kitaifa na kimataifa  ”mama ameupiga mwingi katika kuleta maendeleo na kuifungua Tanzania kitaifa na kimataifa kuhakikisha nchi inasonga mbele”amesema Bi.Yagi.

    Katika hatua nyingine Wajumbe wa ALAT-mkoa wamezungumzia utekelezaji wa zoezi la anwani za makazi ambalo limeanza kutekelezwa katika halmashauri za mkoa huo sanjari na maandalizi ya utekelezaji wa zoezi la sensa ya watu na makazi itakayo fanyika mwezi agosti mwaka huu na kuzitaka halmashauri zote kutekeleza zoezi hilo kwa ufanisi wa kiwango cha juu.

  • RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI

    June 27th, 2018

    RAIS MAGUFULI AADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA ITIGI SINGIDA NA WANANCHI

  • ujenzi wa barabara itigi

    June 27th, 2018

    ujenzi wa barabara makongorosi mpk itigi

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2024
  • TANGAZO : KLINIKI MAALUMU KWA WATU WENYE UALBINO April 08, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 05, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA - UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 18, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA MANYONI YAIPA KONGOLE ITIGI DC UTEKELEZAJI MIRADI

    August 28, 2024
  • DUKA BUBU LA DAWA MUHIMU ZA BINADAMU LAFUNGIWA

    July 15, 2024
  • NBS YAENDESHA KIKAO KAZI CHA MATUMIZI YA TAARIFA YA SENSA 2022

    June 07, 2024
  • ITIGI DC YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 14, 2024
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

Tuvoti mashuhuri

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa