• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

ALAT MKOA WA SINGIDA WAMPONGEZA RAIS SAMIA

Tarehe ya Kuwekwa: March 5th, 2022

ALAT MKOA WA SINGIDA WAMPONGEZA RAIS

Wajumbe wa jumuiya ya tawala za mikoa Tanzania ALAT mkoa wa Singida wamempongeza Mheshimiwa Rais  Samia Suluhu Hassani kwa kuibua na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini

 Akizungumza katika mkutano wa kujadili masuala mbalimbali yakiwemo miradi ya elimu,afya na yanayohusu sekta ya kilimo uliofanyika katika Halmashauri ya Itigi,Mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Singida Mhe. James J. Mkwega amesema  kuwa wajumbe wamepitisha kwa pamoja azimio la kumpongeza Rais kutokana na juhudi zake katika kutekeleza miradi mbalimbali kwa kipindi cha mwaka mmoja cha uongozi wake.

Mhe. Mkwega amesema kuwa azimio hilo la kumpongeza Rais limekuja baada ya kuridhishwa na kasi ya utendaji wake wa kazi “sisi wana Singida kupitia wajumbe wa ALAT mkoa tunampongeza sana rais kwa yale anayotufanyia kwa kipindi hiki kifupi cha utumishi wake” alisema Mkwega.

Akiwasilisha pongezi kwa Mheshimiwa rais kwa niaba ya wajumbe wa ALAT,makamu wa mwenyekiti ALAT mkoa wa Singida Bi.Yagi Kiaratu amesema kuwa tangu awali mheshimiwa rais alionesha wazi dhamira ya dhati ya kuwaletea wanachi wa Tanzania maendeleo.

Amesema kwa rais ameifungua Tanzania kitaifa na kimataifa”mama ameupiga mwingi katika kuleta maendeleo na kuifungua Tanzania kitaifa na kimataifa kuhakikisha nchi inasonga mbele”amesema Bi.Yagi.

Katika hatua nyingine Wajumbe wa ALAT-mkoa wamezungumzia utekelezaji wa zoezi la anwani za makazi ambalo limeanza kutekelezwa katika halmashauri za mkoa huo sanjari na maandalizi ya utekelezaji wa zoezi la sensa ya watu na makazi itakayo fanyika mwezi agosti mwaka huu na kuzitaka halmashauri zote kutekeleza zoezi hilo kwa ufanisi wa kiwango cha juu.

Matangazo

  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA October 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA April 08, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA SINGIDA YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    June 10, 2025
  • DC MANYONI, DKT. VINCENT MASHINJI AONGOZA KIKAO CHA BAJETI YA MWENGE WA UHURU

    June 03, 2025
  • KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KUJADILI HOJA ZA MKAGUZI - CAG

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA UKUSANYAJI KODI ZA MAJENGO

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0684483226

    Simu ya Mkononi: 0684483226

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa