• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Baraza la Madiwani Itigi laishukuru serikali kwa kupata fedha za Miradi ya Maendeleo

Posted on: April 30th, 2021

Na Luganuzi Muwelu -Itigi dc

Baraza la Madiawani Itigi limeishukuru Serikali kwa kutoa fedha za ujenzi wa Miradi Mbalimbali inayoendelea katika Maeneo mbalimbali katika kata tofauti tofauti katika halmashauri ya wilaya ya Itigi

Mh Mwenyekiti  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Itigi  Hussein Simba ameyasema hayo kwenye kwenye kikao cha baraza la Madiwani  kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Itigi baada ya Mkurugenzi Mtendaji Kuwasilisha Kiasi cha Fedha za miradi  kilichongia  katika utekelezaji na ukamilishaji wa miradi mbalimbali katika halmashauri ya Itigi

Simba amesema kuwa “ tunaishukuru serikali kwa kutuletea fedha za ujenzi wa miradi mbalimbali
ikiwemo mradi wa ujenzi wa mabweni ya wasichana mawili katika shule za sekondari ya Ipamuda na Mgandu, ujenzi wa Matundu ya vyoo katika zahanati, ujenzi wa nyumba za watumishi na miradi mingineyo”

Aidha simba amesema kuwa “sisi madiwani tushirikiane na wananchi katika maeneo yetu  tuhakikishe miradi tulioletewa na serikali inakamilika kwa wakati”

Akitoa taarifa hiyo Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bi Grace N. Mwaigaga amesema kuwa” Halmashauri ya Wilaya ya Itigi tumepokea fedha za miradi mbalimbali ikiwemo fedha za ujenzi wa matundu ya vyoo katika zahanati kiasi cha Tsh 66,000,000/= Fedha za ujenzi wa Maabara  katika shule  za sekondari kiasi cha Tsh 130,000,000/= fedha za ujenzi wa Nyumba za watumishi kiasi cha Tsh 470,000,000 Fedha kwa Ajili ya Matundu ya vyoo kiasi cha Tsh  13,000,000/= Shule ya Sekondari Itigi sekondari  Pamoja na fedha za ununuzi wa Magari 3 kiasi cha Tsh 220,000,000/=

Aidha Bi Mwaigaiga amesema kuwa Halmashauri ya wilaya ya itigi itahakikisha Miradi yote kwa kushirikiana na wananchi wa maeneo husika watahakikisha fedha zote zitafanya kazi kama ilivyokusudiwa na Miradi yoye itakamilika kwa wakati

Katika hatua nyingine Meneja wa Tarura halmashauri ya Wilaya ya Itigi ambae alikuwa ni Mgeni Mkaribishwa kwenye Baraza hilo Mhandisi Daniel Mwiru amesema kuwa kwa sasa wapo katika utekelezaji wa barabara yenye urefu  Km 892 zilizopo katika kata na vijiji mbalimbali katika halmashauri ya Itigi 

Pamoja na kuendelea kufanya matengenezo ya barabara hizo tutaenendelea kutengeneza barabara nyingi kadiri tutakapo pata fedha

Naye Diwani  kata ya Rungwa Mh Saidi Yahaya Sudi  amewashauri Tarura kutengeneza barabara zenye ubora ambazo zinaweza kukaa kwa Muda mrefu bila kuharibika kuliko hivi sasa barabara ambapo barabara zikitenezwa zinachuka mda mfupi na kuharibika

Katika hatua nyingine baraza la madiwani hilo limewathibitisha kazini watumishi 7 , kuwapandisha Madaraja watumishi 64, kupitisha majina ya watumishi h odari 34 na kuwabadilisha Miundo ya Utumishi watumishi  21.

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bi Grace N. Mwaigaga (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi wa maswala mbalimbali katika baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Itigi

Mh Saidi Yahaya Sudi akichangia Suala la ujenzi wa bararaba kutoka Mkiwa -Rungwa (Aliyesimama) katika Kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

 Mh  Diwani wa Viti Maalum Utukufu Gwimile (Aliyesimama)  akitoa Mchango wake katika Kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

 Kaimu Afisa Ardhi na Maliasili Ndugu John F. Makota (Aliyesimama) Akitoa Ufafanuzi wa Masuala mbalimbali ya Migogoro ya Ardhi katika Kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.