• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

Chuo cha Veta Manyoni Kujengwa Makao Makuu ya Wilaya- RC Serukamba

Posted on: April 5th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba leo tarehe 5 Aprili, 2023 amemaliza mgogoro wa eneo kitakapojengwa Chuo cha Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kufikia maamuzi kwamba chuo hicho kujengwa katika eneo la Manyoni Makao makuu ya Wilaya.


Maamuzi hayo ameyatoa katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na kuwakutanisha wenyeviti wa Halmashauri zote za Wilaya hiyo, Wabunge wa Manyoni, Madiwani wa Halmashauri ya Itigi na Manyoni, Kamati ya Siasa ya Wilaya na ya Mkoa na Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na mkoa.


RC Serukamba alipitisha uamuzi wa Chuo hicho kujengewa katika eneo la Setelite Manyoni karibu na eneo la mnada baada ya kuwahoji Madiwani wa upande wa Manyoni na Itigi na kubaini kwamba hapakuwa na ushirikishwaji katika upatikanaji wa eneo lililopendekezwa mwanzoni ambalo ni Kintiku Lusilile.


Madiwani pamoja na Wabunge walilazimika kupiga kura ya wazi kwamba ili kuamua chuo hicho kujengewa wapi kati ya Kintinku, Lusilile au Manyoni Setalite ambapo kura 10 zilitaka kijengwe Lusilile, 4 zilitaka kijengwe Itigi na kura 32 zilitaka kijengwe Manyoni.


Aidha Serukamba alieleza kwamba eneo hilo lipo katikati hivyo ni rahisi kufikiwa na wananchi wa maeneo yote ya Wilaya hiyo,

"Maoni ya wengi ni Maoni ya Mungu kwa kuwa wengi wameona chuo hicho kijengwe Manyoni lazima tufanye hivyo ili kiweze kuwasaidia wananchi kutoka pande zote, na wote naomba tuweze kusimamia hili," Alisema Serukamba


Hata hivyo amemuagiza Mkuu wa Wilaya hiyo kuhakikisha eneo hilo linapimwa na wakabidhiwe Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Kati kwa ajili ya kuanza hatua za Ujenzi.


Hata hivyo amewataka Viongozi wa Wilaya hiyo kuandaa ziara katika kata zilipotakiwa kujengwa chuo hicho na kuwaelimisha sababu za msingi za kuhamishwa ujenzi huo.



Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.