• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

DAS MANYONI AKABIDHI PIKIPIKI NA KUWATAKA MAAFISA ELIMU KATA WA ITIGI KUZITUMIA KWA MALENGO KUSUDIWA

Posted on: September 14th, 2018

Katibu Tawala wa Wilaya ya Manyoni ndugu Charles Mkama  amekabidhi Pikipiki Mpya 13 kwa Maafisa Elimu kata  katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi  iliyoko katika Wilaya ya Manyoni.

Mkama  amekabidhi PIKIPIKI hizo kutoka Wizara ya Elimu ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Rais, Dkt. John Pombe Magufuli ya kufuatilia Ubora wa Elimu Nchini.  Hata hivyo Mkama amewataka Maafisa Elimu Kata hao kutumia pikipiki hizo kwa lengo lililokusudiwa na Serikali katika kukuza viwango vya ufaulu kwa wanafunzi kwa kuwa Ufuatiliaji sasa utakuwa ni karibu Mno . Mkama amesema pia kupitia Pikipiki hizi tutakazo wa kabidhi leo hii ni mategemeo yetu kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mtaendelea kuwa wa Kwanza Ki Mkoa na Kuendelea kushika nafasi nzuri kitaifa

Akisoma Taarifa Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Bi Margareth E. Temu amesema kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau wa Elimu walianzisha mpango wa kuinua Elimu Tanzania (EQUIP-T). Ambapo Mkoa wa Singida ni Miongoni mwa Mikoa Tisa inayonufaika na Mpango huu

Aidha Afisa Elimu Msingi alisema pia pamoja na kazi nyingine nyingi lakini pikipiki hizo zitafanya kazi ya kuwawezesha maafisa Elimu Kata kutembelea Shule na kuona utendaji kazi katika shule zao.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Pius Shija Luhende amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya  ya Itigi pikipiki hizi zitafanya kazi kubwa ya kuwawezesha maafisa Elimu kata kuwasimamia walimu katika kata zao ili waweze kutimiza jukumu lao la msingi la kuwafundisha wanafunzi kwa kuwakagua mara kwa mara Ili kujua kama wana maandalio ya masomo na mambo yote anayotakiwa kuwa nayo ili aweze kufundisha kwa kujiamini.

Pia Luhende amesema kuwa Pikipiki hizi zitasaidia sana kufuatilia kwa karibu na haraka takwimu za taarifa mbalimbali zinapohitajika.

Hata hivyo luhende amewataka Maafisa Elimu kata kutumia Pikipiki Hizo kwa Malengo yaliyokusudiwa na Watakutumia kinyume na Taratibu zilivyoelekezwa hatua kali zitachukuliwa dhidi yao

Akimwakilisha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Mh Hussein Simba ambaye ni Mwenyekiti wa kamati wa huduma za jamii na Diwani wa kata ya Tamnbukareli amesema kuwa kamati yake itakuwa na jukumu kubwa la kufuatilia pikipiki hizo kwa kuwa pikipiki hizo zipo chini ya kamati hiyo. Simba amasema kuwa kamati yake aitafanya ukaguzi wa mara kwa mara wa piki piki hizo ili kuona utunzaji wa pikipiki hizo

Katibu Tawala wa Wilaya ya Manyoni Ndugu Charles Mkama (kulia) akiwasha pikipiki kabla ya kuzigawa kwa Maafisa Elimu Kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

Afisa Elimu Kata ya Kalangali Mwl Amasi akisaini Mkataba wa kupokea Pikipiki mbele ya Mkurugenzi Mtendaji Pius Luhende  na Katibu Tawala wa Manyoni Ndugu Charles Mkama

Katibu Tawala Wilaya ya Maanyoni Ndugu Charles Mkama (Kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi Pius Luhende anayefuatia wakifurahia  jambo pamoja na Maafisa Elimu kata 



Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.