• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Itigi District Council
Itigi District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Itigi District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Departments/Units
      • Administration and Human Resource Management
      • Planning and Statistics
      • Finance and Trade
      • Animal Keeping and Fishing
      • Agriculture and Corperation
      • Engineering
      • Primary Education
      • Secondary Education
      • Community Development and Social Welfare
      • Land and Natural Resources
      • Environment and Cleaning
      • Water
      • Health
      • Information and Communication Technology
      • Election
      • Legal
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
      • Beekeeping
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Farming
    • Keeping
  • Services
    • Health
    • Water
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councilors
    • List of Councilors
    • Committees
      • Finance
      • Education, Health and Water
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • AIDS
      • Maadili
    • Timetable
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Bylaws
    • Application Forms
    • Guidelines
  • Media Center
    • Videos
    • Photo Gallery
    • News
    • Press Release

DC AIOMBA NMB KUTOA ELIMU YA KIFEDHA KWA WAALIMU H'W ITIGI

Posted on: June 25th, 2022

Mkuu wa wilaya ya manyoni mkoani singida bi. Rahabu mwagisa ametoa rai kwa taasisi za kifedha kutoa elimu ya kifedha kwa walimu wanaokaribia kustaafu ili waweze kutumia fedha zao kuanzisha miradi yenye tija itakayo wapatia kipato baada ya kustaafu.

Akizungumza katika warsha iliyoandaliwa na benki ya nmb kwa lengo la kutoa elimu ya kifedha kwa walimu katika wilaya ya manyoni iliyofanyika katika mji wa  itigi mkuu huyo wa wilaya  ameiomba benki ya nmb kutoa elimu ya kifedha  na mafunzo ya ujasiriamali kwa waalimu wanaotarajia kustaafu ili waweze kujiandaa kustaafu vizuri.

Amesema walimu wengi wanapostaafu  huanza kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwa ni pamoja na kilimo na biashara ambapo hujikuta wanashindwa kuendelea kutokana na kutokuwa na elimu ya kifedha na matokeo yake wanafilisika na hatimaye k

uishi maisha ya  umasikini.

Awali akimkaribisa mgeni rasmi,mwenyekiti wa halmashauri ya itigi mh.hussein simba ameipongeza nmb kwa kuandaa warsha hiyo kwa walimu  katika halmashauri yake na kuongeza kuwa taasisi hiyo ya kifedha imekuwa na mchango  mkubwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye  halmashauri hiyo.

Bwana ally ngingite ni meneja wa benki ya nmb makao makuu,amesema kuwa ombi la mkuu wa wilaya ya manyoni la kutoa elimu ya kifedha kwa wastaafu watarajiwa amelipokea huku akibainisha masuluhisho ya changamoto za waalimu yanayopatikana katika taasisi hiyo kwa sasa ikiwa ni pamoja na mikopo ya vyombo vya usafiri kama pikipiki na bajaji sambamba na kuondoa baadhi ya masharti yaliyomtaka mwalimu kuweka kiwango fulani cha fedha kama dhamana ili astahili kupata mikopo.

Kwa upande wake bi salome mbua ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi sayuni amesema ni jambo la msingi kwa wastaafu kupatiwa elimu ya kifedha mapema iliwapate uzoefu katika kile wanachotaka kufanya baada  ya kustaafu.

Warsha hiyo ya siku moja  imewakutanisha waalimu zaidi ya mia mbili kutoka wilaya ya manyoni ikiwa na kauli mbiu inayosema “mwalimu spesho-umetufunza –tunakutunza

Announcements

  • Tangazo la kura ya Rais September 18, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 02, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 01, 2024
  • JIMBO LA MANYONI MAGHARIBI LABADIRISHWA JINA SASA LINATAMBULIKA KAMA "JIMBO LA ITIGI" May 12, 2025
  • View All

Latest News

  • KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA KUTATHIMINI TAKWIMU NA MAOTEO YA ROBO YA NNE KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    August 27, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ITIGI KUPIIA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG YOHANA MSITA AREJESHA FOMU YA UTEUZI WA UBUNGE

    August 27, 2025
  • TUME YA UTUMISHI WA UMMA YATOA TAARIFA YA UKAGUZI KWA MENEJIMENT YA ITIGI DC

    August 25, 2025
  • SHIMISEMITA TANGA

    August 25, 2025
  • View All

Video

YANGA DAY
More Videos

Quick Links

  • Our Instagram
  • Our Facebook
  • TAMISEMI
  • ikulu
  • NeST
  • NECTA

Related Links

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2018 Itigi Distict Council. All rights reserved.