• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Itigi District Council
Itigi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
      • Maji
      • Afya
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Mji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Shera Ndogo
    • Fomu za maombi Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Taarifa kwa umma

DC MAMYONI-''MARUFUKU KUUZA MAENEO YA MALISHO''

Tarehe ya Kuwekwa: November 12th, 2022

.Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Bi. Rahabu Mwagisa amepiga marufuku kuuzwa maeneo malisho  ya mifugo yaliyotengwa kwa ajili ya wafugaji.

Mkuu huyo wa Wilaya ametoa katazo hilo katika kikao chake cha hadhara na wakazi wa Mji wa Itigi kilichofanyika katika kijiji cha Songambele  kilicholenga kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majibu  pamoja na kuwafahamisha mambo ambayo serikali yao inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani inafanya.

Bi Mwagisa amesema kuwa kumekuwa na utaratibu wa watu kuuza maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo katika maeneo mbalimbali katika wilaya ya Manyoni jambo ambalo ni kosa kiseria na kwamba ofisi yake ilisha kemea suala hilo na kulitolea muongozo.

Amesema suala hilo likifumbiwa macho linaweza kusababisha mgogoro mkubwa wa ardhi miongoni mwa jamii kama ilivyo katika maeneo mengine nchini na kuagiza kusitishwa kwa shughuli zozote kutoka kwa mtu huyo anaedaiwa kuuziwa eneo hilo wakati serikali ikiendelea kufuatilia ili kujiridhisha juu ya jambo hilo.

Hilo limeibuka baada ya Bw. Joseph Sazii mkazi wa kijiji cha Sambuu kumueleza Mkuu wa wilaya kuwa kuna eneo la malisho lililotengwa katika kijiji hicho limevamiwa na kuuzwa kwa ajili ya matumizi tofauti na ilivyokusudiwa.

Matangazo

  • TAARIFA YA KUBATILISHA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI LA TAREHE 17/4/2023 April 29, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 12, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTUNZA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (3) July 27, 2022
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA WALIMU NA KADA YA AFYA WALIOPANGIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI July 06, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • RAS MGANGA ATOA MAAGIZO

    May 12, 2023
  • SERUKAMBA KUTATUA MGOGORO ENEO LA MALISHO

    May 12, 2023
  • WAJUMBE WA MPDSR WAIBUKA NA MAAZIMIO

    May 01, 2023
  • DC.LWOTA AZINDUA MAADHIMISHO WIKI YA CHANJO ITIGI DC

    April 25, 2023
  • Tazama zote

Video

WALIOFAULU WARIPOTI SHULENI
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Hotuba mbalimbali
  • Taarifa mbalimbali

Tuvoti mashuhuri

  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Barabara yenye urefu wa km 10 kujengwa kwa kiwango cha lami katika mji wa Itigi kwa zaidi ya sh. bilioni 8 kukamilika julai mwakani

Kinasajii Watumiaji Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watumiaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Itigi

    Anwani ya Posta: S. L. P. 70 Itigi

    Simu: 0737235630

    Simu ya Mkononi: 0757226612

    Barua pepe: ded.itigidc@singida.go.tz

Mawasiliano Yetu

   

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • MMM
    • Ramani

Haki miliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Itigi :Haki zote zimehifadhiwa